Mazishi ya Rais wa Falme za Kiarabu

Rejea mfalme Quubus wa Kuwait na yule mfalme wa Saudi Arabia, baba yake Mudi bin Suleiman.
Mapema tu hawakufika hata masaa 12 wakawa washazikwa

Oman wana Sultan
Na alikuwa anaitwa Qaboos wa Oman sio Kuwait
King Salman pia wa Saudia hajafa bado
Mbona unanichanganya hivi au makusudi [emoji23][emoji23]
 
Sema ndio hivyo kwasababu ni mtu mkubwa bila shaka amefanyiwa vipimo vyote na kuhakikisha amekufa kweli

Ila huku kimtaa mtaa ukazimia masaa matano usitingishike utajikuta chafya imekubana ukiwa ndani ya kaburi

Kumbe ndio sababu huwa wengine wanavundikwa mpaka mikono inaachana na mwili
Huwa wengine wanawekwa mpaka mwezi kumbe ni kusubiri apige chafya

Natamani kujua waliowekwa na wapendwa wao mda mrefu ni wangapi waliongea tena na wapendwa kufanya sherehe kurudi kwa mwenzao

Yupo aliezungushwa nchi nzima kusubiri ataamkia hata Zenji ila wapi
 
Kwanza aliyekufa akiongea mbona hapo ndani utakuwa uwanja wa fujo
 

Mkuu kwani mtume wenu muhammad alitahiriwa(alitokewa Govi)??? Kama una reference ntumie
 

Sijawahi kuupenda utaratibu wa kujengea kabisa ilhali mimi ni Mkristo.
 

Wamisri, mumification.
 
Kutahiliwa walianza waisrael(wakristo walikoiga) uoslamu ulikuja baada ya marioo wa hadija mshikaji mudi aliyeoa kademu kanmiaka 9 badae kukifunza akiwa kwenye biashara ya hadija kama muajiliwa
 
Hata wewe umeiga za wazungu
 
Aisee hadi kwa huyu mkubwa naye wamemuharakisha hivi?
Ni wote tu hata wafalme wa Saudia wanazikwa hivyo hivyo na huwa hawaweki alama zozote unajuwa kwa mfiwa anapozika na yeye anapata nafuu lakini mimi sipingi kumtolea heshima ok sawa ila hili la kufungua jeneza kila mtu kupita na kuaga hapa mimi sikubaliani nalo, hata waislamu wanaaga maiti ila wanaoingia ni ndugu wa karibu tu sio wote. Nadhani kuna haja ya kubadilika. Lakini swali tu nakuuliza sio ujinga hili la kufungua jeneza nitoka zamani au ni mambo yameibuka siku hizi? Huwezi kuwa na sheria marufuku kupiga picha za maiti na kusambaza halafu wewe unaweka hadharani siku hizi camera hata miwani tu au saa, kwanini ndugu tu wasiage ndani private basi. Niliona mazishi ya Bush au Michael Jackson sioni wakifungua wanapita tu na kutoa heshima basi.
 
Doh Mwarabu wa Tanzania
 
sasa unauosha vizuri uwe msafi kwa matumizi gani maalim??

ndio maana skendo chafu zimejaa huko pwani.
 
Oman wana Sultan
Na alikuwa anaitwa Qaboos wa Oman sio Kuwait
King Salman pia wa Saudia hajafa bado
Mbona unanichanganya hivi au makusudi [emoji23][emoji23]
Aisee mwenyewe nilishtuka nikashangaa mbona imekuwa ghafla hivyo kumbe ni Wabongo wanammaliza akiwa hai..........
 
Aisee mwenyewe nilishtuka nikashangaa mbona imekuwa ghafla hivyo kumbe ni Wabongo wanammaliza akiwa hai..........

Yaani kampa ufalme chap chap MbS
Naona na Charles anajua ni Mfalme wa Uingereza kama Malkia kafa sijui

Ni ndoto au pepo hizo [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…