Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja kukwambia tafuta hela,we wangoje uone!Sijawahi kuyatumia yeyote kati ya hayo.
Murisya anamaanisha titi...😋Hizi ni mada za wanawake wenye watoto, mi nikafikiri maziwa ya kweli.
Dahhh....😋😋Almudhish mazuri. Lato yana kiharufu flani sio amazing
Naunga mkono hoja....😜Umefeli sana NIDO ipo vizuri
Hilo kopo jekundu
Nimekuja mbio nikitarajia kuona maziwa!
Hunishindi mimi! Yaani nimefika kwenye thread nahema nakujuwa enheee tuyaone haya Manyonyo!Nimekuja mbio nikitarajia kuona maziwa!
Bei sasa hapa nilipo kopo la 900 Grams NIDO wanauza hadi 40KUmefeli sana NIDO ipo vizuri
Mkuu Almudish huwezi linganisha na Lato..
Ukiwemo na wewe usikataeKuna vijana wa hovyo walikuja mbiombio kufungua picha wakidhani wataona matiti
God have mercy upon us!
Siyo mtimiji wa kampuni hizo ila natumia NIDO