Maziwa kumi maarufu duniani yenye maji ya rangi ya waridi{Pink lakes)

Maziwa kumi maarufu duniani yenye maji ya rangi ya waridi{Pink lakes)

Mkuu Ziwa hili ni la kipekee
Ziwa lingine linaloshangaza wengi ni Ziwa Ngozi
Nimeisoma baada ya kuniambia
Hivi wanavua kweli hapo Ngozi maana naona pametulia sana na panatisha

Nimesoma sehemu comments za wazungu waliofika hapo wanasifia sana ila wengi wanasema angalia muda wa kwenda na hali ya hewa.
Wanapenda joto wakiwa holidays sasa inaonekana ni baridi sana hapo ingawa wakati mwingine panakuwa joto kidogo

Asante mkuu nimeliona (kwa picha)
 
Nimeisoma baada ya kuniambia
Hivi wanavua kweli hapo Ngozi maana naona pametulia sana na panatisha

Nimesoma sehemu comments za wazungu waliofika hapo wanasifia sana ila wengi wanasema angalia muda wa kwenda na hali ya hewa.
Wanapenda joto wakiwa holidays sasa inaonekana ni baridi sana hapo ingawa wakati mwingine panakuwa joto kidogo

Asante mkuu nimeliona (kwa picha)
Ziwa Ngozi lipo kilimani tofauti na maziwa mengi ambayo upatikana usawa wa chini
IMG_20170424_220336.jpeg

Pia halina ufukwe,lina tope jingi ndiyo maana linahusisha na stori za kutisha sabsbu ujienda kwa kuogelea kwa pupa ukiingiza tu mguu unakumbana na tope
Sijajua kama kuna samaki humo
 
Sawa mkuu,sijaona Ziwa Eyasi.
IMG_20180803_123415.jpeg
IMG_20180803_123332.jpeg
Mkuu Ziwa Eyasi pia zamani lilifahamika kama Ziwa Njarasa linapatikana karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serrngeti kasakazini mwa Tanzania

Ni ziwa la maji chumvi....maajabu yake ni kwamba linasadikiwa nfiyo ziwa lenye upepo mkali pengine kuliko maziwa yote Tanzania
Upepo mksli huvuma muda wote yaani masaa 24 hivyo kufanya uvuvi kwenye Ziwa Eyasi kuwa mbinde kufanyika hivyo kupelekea hata wavuvi wabobezi kutoka maziwa mskubwa kama Nyasa na Victoria kukimbilia ziwa jirani la Manyara na hivyo samaki wengi hufa kwa uzee
 
View attachment 825844View attachment 825845Mkuu Ziwa Eyasi pia zamani lilifahamika kama Ziwa Njarasa linaoatikana karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serrngeti kasakazini mwa Tanzania

Ni ziwa la majo chumvi....maajabu gake ni kwamba lonasadikiwa nfiyo ziwa lenye upepo mkali pengine kuliko maziwa yote Tanzania
Upepo mksli huvuma muda wote yaani masaa 24 hivyo kufanya uvuvi kwenye Ziwa Eyasi kuwa mbinde kufanyika hivyo kupelekea hata wavuvi wabobezi kutoka maziwa mskubwa kama Nyasa na Victoria kukimbilia ziwa jirai la Manyara na hivyo samaki wengi hufa jwa uzee
Hahaa, samaki wanakufa kwa uzee!!.
 
Back
Top Bottom