Hakuna kitu kama hiki...Wazee hatuko hivyo Mkuu, tumejaa busara kama Mvi zetu zilivyo π€
Pamoja na hilo lakini bado Wazee tupo vizuri kuliko Vijana πHakuna kitu kama hiki...
Nikikumbuka kama ni wewe ulificha mtu.....alafu ukatoka na upanga ahahah
HujamboWafanya diet wanaojikondesha wanakunywa mtindi, nadhani yanasaidia kupungua.
Yanasaidia Kwa Sisi wanawake Ni moja ya faida zakeNiliwahi tu kusikia eti mwanamke anayetumia mtindi kwa wingi kule kwa bibi kunakuwa perfect, when I say perfect I mean perfect..sasa sijajua manake no research no right to speakπ€£
ππππHapana nataka afya iimarikeunataka uwe kibonge ili ujambejambe hovyo?ππ
NinenepeWhat is your interest, swali fikirishi je wewe unapenda unenepe ama ukonde
Hapo unapooanza kujisifia huwa nakushusha vyeo mkuu....Pamoja na hilo lakini bado Wazee tupo vizuri kuliko Vijana π
Kuwa na imani na Wazee π€Hapo unapooanza kujisifia huwa nakushusha vyeo mkuu....
Wee ni mzee wa hovyo kumbe,, tofauti na wale mafaza wa kufakamia 2k, wewe una tetea mambo ya ajabu sana
Ahahahah wanakera sana aiseeeKuwa na imani na Wazee π€