Maziwa ya azam

Maziwa ya azam

aikambe

Member
Joined
Jul 5, 2014
Posts
90
Reaction score
14
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.
 
Walisema ukiyafungua na kuyaweka katika friji hayataganda mkuu?
 
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.

mkuu soma instructions pengine ni mgando sio fresh
 
Niliwahi kutumia Azam- low fat, niliweka kwenye fridge nilipoamka nikakuta yameganda, nikayatoa, yakayeyuka (melt) yalikuwa bado yapo fresh nikayanywa. ......
 
Pili za azam zile pale mpyaaa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.

Yamewekwa Halua Halua Mkuu.
 
Azam TV, Juis, Malt, Soda, Maziwa, Timu ya mpira, Chapati kwa muda mfupi hv inanipa shaka kama kweli alifanya utafiti wa soko na satisfaction za wateja.Soon utasikia LOW COST AZAM AIRLINE (Dar - Zanzibar)
 
Back
Top Bottom