Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku tunapoenda utaskia wali maharage kwenye pakti ya azam!
huku tunapoenda utaskia wali maharage kwenye pakti ya azam!
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.
huku tunapoenda utaskia wali maharage kwenye pakti ya azam!
faida ya halal
wapi Azam kondom?
""Halal""??
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.
""Halal""??