Maziwa ya azam

Maziwa ya azam

vipi zile zingine, kuna za Mo, kuna Azm Tv, na yenyewe imo?

'mo' sio azam, ni metl(mohammed dewji).zote mulemule. soko lao ni watu maskini na ndo maana bidhaa zao hovyo.
 
Azam Condom the quality product
 
Tunapiga zogo wao wanafikiria kuanzisha miradi mingine.
Muuza vyungu leo anakimbiza Nchi.

Mleta uzi uwe unasoma maelezo yake.
Hata AZAM Ice cream imedandikwa pia iwekwe kwenye Baridi ya Degrees ngapi.
We ukinunua Maziwa unafakamia tu.
 
Azam ajikite kwenye bidhaa ambazo si chakula maana kwa vyakula anaua watanzania taratibu na sumu kwenye vinywaji vyake hasa ile MALTA & AZAM COLA. Nafikiri ajikite kuanzisha treni ya mizigo au simenti na mabati HALAL. Ha ha ha.
hakuna kitu ambacho mwanadamu anatakiwa kuwa nacho makini kama chakula, lakini cha ajabu ni kwamba watanzania wengi tunaangalia bei na wingi{ujazo} huku tukisahau contents za iyo bidhaa, kwa mfano ile azam mango juice ni tamu hadi unadoubt kama kweli wametumia matunda halisi hata kidogo, na kuhusu maziwa yananalalamikiwa sana, yanasifiwa packaging tu. Natumai TFDA na tbs wanafanya kazi zao
 
Kutokuona wafugaji wanapeleka maziwa Azam haimaanishi kuwa maziwa si halisi! Kama hujawahi kuona wachezaji wa azam wakilipwa mishahara, haimaanishi wale wachezaji hawalipwi mishahara!
Kama umepanic hivi! Mdau alikuwa na point, so kama unafahamu otherwise justify kwa hoja or evidence. Ndo kuelimishana hivi
 
ooops! huo ulinganifu wako tu unaonesha ukingo wako wa kufikiri ulipo. kama una facts za kuhakikishia watanzania kwamba hayo ni maziwa halisi weka hapa, siyo kuleta habari za mpira kwenye kila jambo!

mkuu nasikia jamaa(bakhresa) ana shamba la ng'ombe kule Chanika,nasikia ni wengi sana
 
Azam amepanuka kwa haraka kiasi kwamba baadhi ya products zake hazina kiwango (eg. Juis & Malta) wamezidisha sukari balaaa

Hahaha uswazi ndo zinapendwa na ndo kafocus huko
 
huku tunapoenda utaskia wali maharage kwenye pakti ya azam!
Kama chapati zipo Mkuu hatutashangaa kuona hiyo kitu! Ma-mama ya mjini kwa uvivu bwana, mpaka yanatia huruma!!
 
slim5 sikuelewi unaandika vitu gani aieee!!!

Hebu tueleze na tupe ushahidi hayo maziwa yanatoka wapi? usilinganishe naziwa na timu ya mpira ww?
 
Last edited by a moderator:
Mhhh mtakufa mapema jaman wapenda mavyakula ya box na makopo khaa
 
kuna mdau mmoja alichambua ingredient moja ya hayo maziwa, alisuggest kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa chanzo chake si halal!

mkuu mwishoni yana kama unga unga flan hivi.. mi siyapendi maana nikiyanywa nita diarrhea mpaka niombe poo
 
100% ni maziwa ya Unga,pale kiwandani wanayachanganya na maji kisha wanayapack.niliyanywa once mpaka Leo siyataki tena.imagine ziwa la Unga toka China(lenye malamine) pluss siagi from Mumbai mix yake
 
Back
Top Bottom