idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,416
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.
ni kweli, hayafai. bidhhaa zote za bakhressa hovyo tu. ukubali ukatae, usimame ukae.