Maziwa ya azam

Maziwa ya azam

Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.

ni kweli, hayafai. bidhhaa zote za bakhressa hovyo tu. ukubali ukatae, usimame ukae.
 
Azam ajikite kwenye bidhaa ambazo si chakula maana kwa vyakula anaua watanzania taratibu na sumu kwenye vinywaji vyake hasa ile MALTA & AZAM COLA. Nafikiri ajikite kuanzisha treni ya mizigo au simenti na mabati HALAL. Ha ha ha.
 
hayo maziwa sidhani kama ni halisi, wana shamba wapi? mlishawahi kuona wafugaji wanapeleka maziwa pale?! maziwa yapo mengi sana Tanzania asee, siwezi kununua hayo mapoda.

Kutokuona wafugaji wanapeleka maziwa Azam haimaanishi kuwa maziwa si halisi! Kama hujawahi kuona wachezaji wa azam wakilipwa mishahara, haimaanishi wale wachezaji hawalipwi mishahara!
 
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa fresh.

Mkuu mie nayatumia pia sijawai iyo kitu.il a nachojua ukiyafungua ndani ya siku tatu uwe umeshayatumia.kuna maelezo kwenye box pia
 
Kutokuona wafugaji wanapeleka maziwa Azam haimaanishi kuwa maziwa si halisi! Kama hujawahi kuona wachezaji wa azam wakilipwa mishahara, haimaanishi wale wachezaji hawalipwi mishahara!

ooops! huo ulinganifu wako tu unaonesha ukingo wako wa kufikiri ulipo. kama una facts za kuhakikishia watanzania kwamba hayo ni maziwa halisi weka hapa, siyo kuleta habari za mpira kwenye kila jambo!
 
ooops! huo ulinganifu wako tu unaonesha ukingo wako wa kufikiri ulipo. kama una facts za kuhakikishia watanzania kwamba hayo ni maziwa halisi weka hapa, siyo kuleta habari za mpira kwenye kila jambo!

Mkuu kila kitu kina ukomo, kwani wewe huna ukomo wa kufikiri? ukomo wako wa kufikiri si ndio uliokutuma useme kama hamna alieona wafugaji wakipeleka maziwa azam, basi maziwa hayo si halisi! yaani kabisa, kama kitu hujakiona basi hakipo! kama na wewe unafikiria hivo, basi ni tatizo kubwa sana mkuu!
 
hayo maziwa sidhani kama ni halisi, wana shamba wapi? mlishawahi kuona wafugaji wanapeleka maziwa pale?! maziwa yapo mengi sana Tanzania asee, siwezi kununua hayo mapoda.

hapo kwenye red, acha dhana, toa facts kwamba maziwa sio halisi, watanzania wasalimike, utakuwa umewasaidia, hapo ktk green sio hoja! hapo kwenye blue, unazungumzia maziwa gani?
 
Azam TV, Juis, Malt, Soda, Maziwa, Timu ya mpira, Chapati kwa muda mfupi hv inanipa shaka kama kweli alifanya utafiti wa soko na satisfaction za wateja.Soon utasikia LOW COST AZAM AIRLINE (Dar - Zanzibar)

Ile ni group company u can join pia
 
hayo maziwa sidhani kama ni halisi, wana shamba wapi? mlishawahi kuona wafugaji wanapeleka maziwa pale?! maziwa yapo mengi sana Tanzania asee, siwezi kununua hayo mapoda.[/QUOT

Ndugu kwa taarifa nilizonazo ni kwamba kiwanda cha Bakhressa cha kuzalisha haya maziwa kipo kisiwani Unguja,kuhusu kama anafuga ng'ombe wa maziwa huko au ananunua maziwa kwa wakulima hilo sifahamu!
 
Mkuu kila kitu kina ukomo, kwani wewe huna ukomo wa kufikiri? ukomo wako wa kufikiri si ndio uliokutuma useme kama hamna alieona wafugaji wakipeleka maziwa azam, basi maziwa hayo si halisi! yaani kabisa, kama kitu hujakiona basi hakipo! kama na wewe unafikiria hivo, basi ni tatizo kubwa sana mkuu!

sijui hata unatetea kitu gani?!! hakuna maziwa halisi hapo, na siyo dhambi kuuza maziwa yasiyo halisi kwa hiyo simlaumu ssb, kikubwa ni kwamba SIYO MAZIWA HALISI! Soma ingredients uone preservative zilizotumika utajua.
 
Back
Top Bottom