Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
hahahaha poleMaziwa yakilala KERO
Mashine ikilala KERO
Tako likilala KERO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha poleMaziwa yakilala KERO
Mashine ikilala KERO
Tako likilala KERO
DUKuna bonge la demu nilikuwa nalielewa kinyama .Siku moja niko nalo sehemu limetinga vesti ,kuliscan vizuri yaani kwenye matiti ni flat bin malapa.Mizuka yote imekata ,hata aje amepiga misamba vipi dudu halistuki.Labda akayaboost kama inawezekana au ajaribu Mloganzila.Matiti yamenyauka na kusinyaa hapana kwa kweli.
sauwayaamshe
sauwaHata sijui anamfuata wanini ikiwa stim ilishakata
Yatakuwa maziwa mgando au kule Kenya wanayaita maziwa "lala".Hata ukiset alarm clock hayaamki?Maziwa (milk) hayana uhai so hayawezu kufanya chochote. Ila yanweza kufanyiwa chochote kama kuchemshwa, kugandishwa, kunywewa n.k
Sasa hayo maziwa yanayoweza kupata usingizi na kulala sijui ni maziwa gani.
Au maziwa kama Tanganyika, Natron na Eyasi?
Ni kwel kabisa.Kuna rafiki yangu alinambia "Mimi nikienda na demu ghetto nikikuta mzigo umelala mood inakata kabisa"
Sawame ni mama sio baba
Wanaume wengi tunataka "chuchu saa sita mchana".
Anunue hamira aweke chini ya matiti alele kukikucha anakuta yameumuka na kuwa saa 9 mchanaclient wa instagram: money penny bwana me nimepata demu ila maziwa yake yamelaaaaala sana
money penny: sa unataka nifanyaje jaman
client wa instagram: me nasema tu nisaidie nifanyaje
money penny: una hela?
client wa instagram: ya nini
money penny: ya kusimamisha maziwa?
client wa instagram: mh! Tsh ngapi?
Money penny: bei inatofautiana na nchi, kuna south africa, kenya, dubai, india, we chagua tu umpeleke asimamishe
client wa instagram: ah, me nataka ambae maziwa hayajalala, ina maana huyu katumika sana
money penny: kwakweli sijui kuhusu hilo boss, skuhizi dunia imeenda sana
je ni kweli msichana maziwa yakiwa yamelala sana anakuwa ametumika sana kwa wanaume au? mbona kuna waliosimamisha maziwa wametumika kuliko!
kwani nyie wanaume mko na shida ghan?
aiseeYatakuwa maziwa mgando au kule Kenya wanayaita maziwa "lala".Hata ukiset alarm clock hayaamki?
kwa mara ya kwanza mtu kaeleza ukweliWengine ni maumbile yao tokea wakiwa mabikra. Ila wengine ni mishe walizopigishwa na wanaume.
mmmmh!Kama wewe ushawahi walalisha wapenzi wa watu maziwa bac jua na wewe Kuna mtu kamlalisha mpenz wako maziwa [emoji1787][emoji1787]hii inaitwa haribu nikuharibie
hata shuleni ulikuwa unafeliMaziwa yakiwa yamelala mwanamke akiruka yanagonga Cheers na kitovu🤣