Maziwa ya ng'ombe na maziwa ya formula kwa mtoto wa mwaka 1-3

Asante Sana dear.mambo yanachanganya Sana haya
 
Watu wengine hata usihangaike kuwajibu. Mtu hajawahi lea hata paka anajiropokea tu.
 
Asante mkuu .hata kama ameshatoboa mwaka au miwili na kuendelea?
Ndio kama utamfululizia kumpa kila siku hata akiwa na miaka 3 bado t gesi itamsumbua na pia usipende kununua ayo maziwa sehem tofaut tofaut nunua sehem 1 tu
 
Binafsi maziwa ya ng'ombe huwa natumia katika kupikia chakula Cha mtoto kitakachohitaji maziwa. Namnyonyesha ya kwangu mpaka miaka miwili nikiachisha ndio naanza kumpa ya ng'ombe na sio Kila siku, na Bahati mbaya au nzuri wanangu wote wameyakataa maziwa ya ng'ombe hawayapendi.

Niliamua kufanya hivyo kutokana kupata maziwa ya ng'ombe mazuri ni changamoto kuyapata mengi wameyachakachua sana..
 
Kweli mjini maziwa mazuri shida sana
 
Naombeni kuuliza wataalamu huku kwa mtoto wenye mwaka hadi mitatu. Maziwa yapi bora kwake, ya formula mfano lactogen, sma, infacare, s26 etc au ya ng'ombe?

Yapi yana nguvu?
Kwa ninavyofahamu mtoto mdogo hawezi ku digest maziwa ya ng'ombe, ni Either uyachujue sana na Maji ama usimpe, watoto wengi wanaharisha na kupata matatizo sababu ya maziwa ya Ng'ombe, anaweza pia kupata matatizo ya Figo.

So kwa mwaka mmoja maziwa ya mama ama formula ni bora zaidi, issue kibongo bongo kuwa makini sana na hizi formula, sio zote ni OG hukawii kuuziwa feki.

Akifika miaka kuanzia mwaka 1-2 hapa anaanza ku digest hayo ya ng'ombe ila still mengine mazito mchanganyie na Maji, kuanzia miaka 2 ya Ng'ombe sawa.

Kuhusu virutubisho Formula yana virutubisho zaidi, mfano Maziwa ya Ng'ombe hayana Vitamin C, mtoto anaihitaji hio, kwenye formula ipo.
 
Acha uvivu nyonyeshq mtoto wewe single mother... sijui kwani mnawazaa halafu mnakuja kuwatesa bila sababu na mikemiko kemiko hiyo. Hakuna ubize wa kukosa muda wa kunyonyesha mtoto kama una hela [kama unavyojionesha], weka house girl weka dereva, muda wa kunyonya mtoto aletwe ulipo anyonye... Mbarambafu




...Ni hayo Tu!!!
 
Hujawai lea hata mbu hapo ndani kwako utatueleza.nini wewe kiazi. Ticha ujinga wako maana ni mwingi
 
Shukrani mkuu
Huku jf kuna vivulana vya 2000 yaani ni shida
Kama mtu Hana jibu si akae Tu kimya jamani?
 
Hujawai lea hata mbu hapo ndani kwako utatueleza.nini wewe kiazi. Ticha ujinga wako maana ni mwingi
Tulia uandike vizuri Madam.. Mimi sio ticha, mi ni mfanyabiashara.. U widened ur thighs for "inn" by ur own self, si hatukuwepo. Na ulipenda ile nyimbo, "mtoto kautaa.....
so relax nyonyesha mtotoπŸ˜„πŸ˜„πŸ‘‹πŸ‘‹


...Ni hayo tu!!!
 
Tulia uandike vizuri Madam.. Mimi sio ticha, mi ni mfanyabiashara.. U widened ur thighs for "inn" by ur own self, si hatukuwepo. Na ulipenda ile nyimbo, "mtoto kautaa.....
so relax nyonyesha mtotoπŸ˜„πŸ˜„πŸ‘‹πŸ‘‹


...Ni hayo tu!!!
Umesoma.nilichoandika dogo? Vitu vingine hata wewe unajifunza usikurupuke kujibu my dear haitokupunguzia heshima yako.mtoto WA miaka mitatu ukanyonyesha mara ngapi kwa siku tuanzie hapo na anaitaji maziwa kiasi gani mwilini?
 
Mama yake hatoi maziwa?
Mpaka umri wa miaka miwili maziwa ya mama ndio chakula kikuu,makundi mengine ni ziada tu.Maziwa ya ng'ombe yana protein ambayo ni ngumu kwa mtoto kuifayia digestion
 
Umesoma.nilichoandika dogo? Vitu vingine hata wewe unajifunza usikurupuke kujibu my dear haitokupunguzia heshima yako.mtoto WA miaka mitatu ukanyonyesha mara ngapi kwa siku tuanzie hapo na anaitaji maziwa kiasi gani mwilini?
Normal Challenges, Relax na Karibu Lunch..
πŸπŸ”πŸœπŸ‘πŸ₯‚πŸ»πŸΊπŸ₯ƒπŸΉπŸΈπŸ·
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…