Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Kama hawakutoa tahadhari,basi jeshi letu linapelea pahala
Hapana. Wakati mwingine inakuwa ni kwa sababu za kiusalama kwani wapo "wahuni" au "adui" akaitumia hiyo taarifa kama fursa kufanya yake.
 
Ni mazoezi ya kawaida ,kuna kozi ya uongozi inaendelea hapo.
Nasikia mazoezi ni makali kinoma
 
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikiona vikosi vya jeshi wakitembea mtaani hapa Tabora, wakiwa wameshika bunduki, wakitembea kwa mstari, ukipita maeneo ya kule Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wao ndio wamezagaa mule ndani na ndio wanaofungua na kufunga mageti.

MIsururu ya magari yao inakatiza, hii inatisha watu tena wakati wa misululu hiyo juu kunakuwa na Escot ya Helkopta wenye kujua nini kinaendelea watujuze maana inatisha walahi

Kwenu wanajamvi..
Ni kawaida tumwaka 1992 nikiwa hapo Tabora niliona wakifanya hayo mavituz
 
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikiona vikosi vya jeshi wakitembea mtaani hapa Tabora, wakiwa wameshika bunduki, wakitembea kwa mstari, ukipita maeneo ya kule Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wao ndio wamezagaa mule ndani na ndio wanaofungua na kufunga mageti.

MIsururu ya magari yao inakatiza, hii inatisha watu tena wakati wa misululu hiyo juu kunakuwa na Escot ya Helkopta wenye kujua nini kinaendelea watujuze maana inatisha walahi

Kwenu wanajamvi..
Mazoezi ya kizamani sana, kwa sasa Vita imehamua kwenye Techinolojia na sio waty tena.

Vita au ulinzi wa nchi haumuliwu na idadi ya Wanajeshi bali Techinolonia yabkisasa ya ulinzi.
 
Kuna rafiki yangu mjeda kanipenyezea kuwa wamemuchoka mama.wanafanya kwanza mazoezi baadae wafanye kweli.kaniambia iwe Siri na wewe msomaji usimpenyezee mwingine fullstop
 
Back
Top Bottom