Mazoezi ni siri kubwa ya urembo na tambo zuri

Mazoezi ni siri kubwa ya urembo na tambo zuri

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mazoezi ya lisaa limoja kwa siku yanatosha kukufanya upate mwili unaopendeza. Mwili unaokubali kila nguo. Mazoezi yanasaidia kukuepusha na magonjwa mengi ya muda mrefu, mfano kisukari, magonjwa ya moyo, stroke, na matatizo ya miguu.

Inapendeza ukiwa na miaka 70+au 80+ bado unaweza kwenda sokoni kununua matunda fresh, kuyaandaa na kula kila siku bila kuwategemea wajukuu. Haya yanawezekana ukianza kufanya mazoezi mapema.

Katika nyumba yako, ukiwa na uwezo unaweza kuweka chumba cha gym. Kusiwe store bali ni chumba cha mazoezi chenye trade mill, exercise by cycle, punching bag, exercise mat kwaajili ya yoga. Kama hali yako ni kama yangu tu weka trade mill chumbani. Hii itakusaidia kutokukosa mazoezi hata mvua ikiwa inanyesha nje.
 
Inapendeza ukiwa na miaka 70+au 80+ bado unaweza kwenda sokoni kununua matunda fresh, kuyaandaa na kula kila siku bila kuwategemea wajukuu. Haya yanawezekana ukianza kufanya mazoezi mapema.[emoji736][emoji817][emoji1545][emoji1545]
 
Karibuni kwenye ulimwengu wa kukimbia pia...
Screenshot_20210715-221910.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naungana na wewe kwa 100%
Binafsi mazoezi yameniweka vzr sana hakuna ninachojutia kwenye mazoezi. Faida ni nyingi mno.
Oct nafikisha 40yrs lkn hapo ofcn nashangaa madogo wa field wanakomaa kuwajaza shimakoo washkaji ambao kwangu ni wadogo kwa miaka 5 na zaidi.

Siku moja nikawauliza hv mbona mm hamniamkiii mnaishia na salamu ya Mambo au za asbh. Mmoja akajibu kuwa wewe tupo sawa tu mbona. Nachekaga sana.

Lkn kuna sehemu nilisoma kuwa mazoezi katika ubora wake yanakurudisha young to 8 years na zaidi. Pia mchango wa tunavyokula ni 80% ya afya za miili yetu wakati 20% ni kwa ajili ya mazoezi. So tule kwa afya + tufanye mazoezi.

Ngoja nilale kesho naendelea naendelea na Running challenge yangu ya July ya 200km ambapo sasa bdo nipo Km ya 112. Nadaiwa hizo 88km

Tufanye mazoezi jamani.

Check hiyo kwa ajili ya record keeping ya workout zako

 
Naungana na wewe kwa 100%
Binafsi mazoezi yameniweka vzr sana hakuna ninachojutia kwenye mazoezi. Faida ni nyingi mno.
Oct nafikisha 40yrs lkn hapo ofcn nashangaa madogo wa field wanakomaa kuwajaza shimakoo washkaji ambao kwangu ni wadogo kwa miaka 5 na zaidi.

Siku moja nikawauliza hv mbona mm hamniamkiii mnaishia na salamu ya Mambo au za asbh. Mmoja akajibu kuwa wewe tupo sawa tu mbona. Nachekaga sana.

Lkn kuna sehemu nilisoma kuwa mazoezi katika ubora wake yanakurudisha young to 8 years na zaidi. Pia mchango wa tunavyokula ni 80% ya afya za miili yetu wakati 20% ni kwa ajili ya mazoezi. So tule kwa afya + tufanye mazoezi.

Ngoja nilale kesho naendelea naendelea na Running challenge yangu ya July ya 200km ambapo sasa bdo nipo Km ya 112. Nadaiwa hizo 88km

Tufanye mazoezi jamani.
Afya ni asset yako isiyo nunulika, ukifanya mazoezi na kula vizuri ni sawa na kuipolish asset yako kila siku na itadumu kwa muda mrefu sana.

40+ ni muhimu kupunguza kula nyama na pombe na kuongeza mboga, matunda na maji. Wako matajiri wana mahela lakini hawayafaidi kwakua asset afya imekua mbovu.
 
Kumbe ndiyo sababu unapendeza eh!? 😋😋😋

Mazoezi ya lisaa limoja kwa siku yanatosha kukufanya upate mwili unaopendeza. Mwili unaokubali kila nguo. Mazoezi yanasaidia kukuepusha na magonjwa mengi ya muda mrefu, mfano kisukari, magonjwa ya moyo, stroke, na matatizo ya miguu.

Inapendeza ukiwa na miaka 70+au 80+ bado unaweza kwenda sokoni kununua matunda fresh, kuyaandaa na kula kila siku bila kuwategemea wajukuu. Haya yanawezekana ukianza kufanya mazoezi mapema.

Katika nyumba yako, ukiwa na uwezo unaweza kuweka chumba cha gym. Kusiwe store bali ni chumba cha mazoezi chenye trade mill, exercise by cycle, punching bag, exercise mat kwaajili ya yoga. Kama hali yako ni kama yangu tu weka trade mill chumbani. Hii itakusaidia kutokukosa mazoezi hata mvua ikiwa inanyesha nje.
 
Afya ni nguzo ya kwanza ya mitaji ya mafanikio katika maisha. Afya yako ni mtaji wako namba moja!
 
Back
Top Bottom