King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ushauri mzuri sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dada wa juu mbona mchokozi, huku kwetu Buza angesababisha ajali.
I like this woman in 1st pic.....
nimempenda bure
Yupo vizuri sana mwepesi, yupo simple, mzuri pia.Anajituma haswaa.
Nimekumbuka ile story ya wale prawns fungu kubwaaaa sh 5'000/-
Huyu bibi ni noma anavunja kama chris brown aisee!
Yupo vizuri sana mwepesi, yupo simple, mzuri pia.
Mkiwa na raha na furaha mnajikuta TU mnafunguka. Irudiweeee irudiweeeAahahahahahahaaa looh
Umenipa kiu ya kula prawns, halafu wako mbali na upeo wa miguu yangu...!
Hivi ilikiwaje nikakusimulia fungu la elf 5...!?? 🤔🤔🤔😅
Uzuri hata uonekane kijana... umri unabakia uleule na mwisho wa siku sote tunarudi mavumbini...Naungana na wewe kwa 100%
Binafsi mazoezi yameniweka vzr sana hakuna ninachojutia kwenye mazoezi. Faida ni nyingi mno.
Oct nafikisha 40yrs lkn hapo ofcn nashangaa madogo wa field wanakomaa kuwajaza shimakoo washkaji ambao kwangu ni wadogo kwa miaka 5 na zaidi.
Siku moja nikawauliza hv mbona mm hamniamkiii mnaishia na salamu ya Mambo au za asbh. Mmoja akajibu kuwa wewe tupo sawa tu mbona. Nachekaga sana.
Lkn kuna sehemu nilisoma kuwa mazoezi katika ubora wake yanakurudisha young to 8 years na zaidi. Pia mchango wa tunavyokula ni 80% ya afya za miili yetu wakati 20% ni kwa ajili ya mazoezi. So tule kwa afya + tufanye mazoezi.
Ngoja nilale kesho naendelea naendelea na Running challenge yangu ya July ya 200km ambapo sasa bdo nipo Km ya 112. Nadaiwa hizo 88km
Tufanye mazoezi jamani.
Check hiyo kwa ajili ya record keeping ya workout zako
![]()
Strava: Run, Bike, Hike - Apps on Google Play
Track your active life in one place and share the journey with friends.play.google.com
Kila kiungo? Really?Mbona sioni watu wakilisema zoezi la kuruka kamba? Nadhani ni zuri kwa sbb linainvolve kila kiungo
Kila kiungo? Really?
Hata kile cha kumwaga mkojo?
Naomba hiyo kilauri nikuwekee K Vant ya mwisho nikupeleke ukalale.
Leo zamu ya bibi kubwa.
huwa unaandika sana pointMazoezi ya lisaa limoja kwa siku yanatosha kukufanya upate mwili unaopendeza. Mwili unaokubali kila nguo. Mazoezi yanasaidia kukuepusha na magonjwa mengi ya muda mrefu, mfano kisukari, magonjwa ya moyo, stroke, na matatizo ya miguu.
Inapendeza ukiwa na miaka 70+au 80+ bado unaweza kwenda sokoni kununua matunda fresh, kuyaandaa na kula kila siku bila kuwategemea wajukuu. Haya yanawezekana ukianza kufanya mazoezi mapema.
Katika nyumba yako, ukiwa na uwezo unaweza kuweka chumba cha gym. Kusiwe store bali ni chumba cha mazoezi chenye trade mill, exercise by cycle, punching bag, exercise mat kwaajili ya yoga. Kama hali yako ni kama yangu tu weka trade mill chumbani. Hii itakusaidia kutokukosa mazoezi hata mvua ikiwa inanyesha nje.
Ndio. Usivae Boxer ndo utaona matokeoKila kiungo? Really?
Hata kile cha kumwaga mkojo?
Mkuu suala siyo kuonekana kijana, suala lipo kwenye ubora wa afya kwa ujumla wake. Leo hii ukiumwa ukalala zaidi ya mwezi hilo tayari ni tatizo kwa uchumi wako na waregemezi pia. Tunachozungumzia hapa ni kujitahidi kuondokana na risk ya kutopata magonjwa yasiyo ambukiza ambayo kama tungefanya mazoezi tungeepukana nayo.Uzuri hata uonekane kijana... umri unabakia uleule na mwisho wa siku sote tunarudi mavumbini...
Yaani niache kupiga mvinyo nihangaike na mazoezi?
Raha jipe mwenyewe bhana.... maisha ni hayahaya