Mazoezi ni siri kubwa ya urembo na tambo zuri

Nimekumbuka ile story ya wale prawns fungu kubwaaaa sh 5'000/-

Aahahahahahahaaa looh

Umenipa kiu ya kula prawns, halafu wako mbali na upeo wa miguu yangu...!

Hivi ilikiwaje nikakusimulia fungu la elf 5...!?? πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜…
 
Aahahahahahahaaa looh

Umenipa kiu ya kula prawns, halafu wako mbali na upeo wa miguu yangu...!

Hivi ilikiwaje nikakusimulia fungu la elf 5...!?? πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜…
Mkiwa na raha na furaha mnajikuta TU mnafunguka. Irudiweeee irudiweee
 
Ni kweli kabisa... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mbona sioni watu wakilisema zoezi la kuruka kamba? Nadhani ni zuri kwa sbb linainvolve kila kiungo
 
Uzuri hata uonekane kijana... umri unabakia uleule na mwisho wa siku sote tunarudi mavumbini...

Yaani niache kupiga mvinyo nihangaike na mazoezi?

Raha jipe mwenyewe bhana.... maisha ni hayahaya
 
huwa unaandika sana point
 
Uzuri hata uonekane kijana... umri unabakia uleule na mwisho wa siku sote tunarudi mavumbini...

Yaani niache kupiga mvinyo nihangaike na mazoezi?

Raha jipe mwenyewe bhana.... maisha ni hayahaya
Mkuu suala siyo kuonekana kijana, suala lipo kwenye ubora wa afya kwa ujumla wake. Leo hii ukiumwa ukalala zaidi ya mwezi hilo tayari ni tatizo kwa uchumi wako na waregemezi pia. Tunachozungumzia hapa ni kujitahidi kuondokana na risk ya kutopata magonjwa yasiyo ambukiza ambayo kama tungefanya mazoezi tungeepukana nayo.

Kuonekana kijana ni moja ya faida chache sana kwenye mazoezi.

Ninao marafiki ambao walikuwa wabishi kama wewe lkn baada ya mmoja wao kupigwa stroke na kubaini kuwa imetokana na hypertension ambavyo aghalabu imetokana na style ya maisha yake hasa kula unhealth na kutofanya mazoezi, wengi wa wale marafiki sasa wameunga juhudi na tunaendelea nao kwenye mazoezi yetu.

Nakukumbusha:-
80% ya afya yako ni vile unavyokula+Kunywa
20% ni mazoezi.
#Eatwellhealthy #Trainsmart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…