Mazoezi ya kegel yamenisaidia sana.

Mazoezi ya kegel yamenisaidia sana.

Kwa mtu aliye fit kiakili na kimwili na hatumii chochote cha kusisimua hata kama ana mazoezi ,hawezi kufika hizo dakika kwa goli la kwanza labda awe anatumia vitu vya ajabu.
So mtu fiti anatumia dakika ngapi?
 
Kwa hiyo kupiga mabao ndio mambo ya msingi au vipi.

Kama wewe unavyoona kupigana mabao ndo mambo ya msingi na wenzio mambo ya mpira ndio kipendeleo Chao

Tusipangiane tafazali bloo

We focus kwenye hizo dakika zako 17 sijui 6 na waache wengine wahangaike na mambo yao ya mipira
Kwa hyo unabanq zile sphinter muscles sio
 
Sie wapenda mpira na wacheza mpira ni mwendo wa kuunga tu..acha kujisifia ujinga
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANAYOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Back
Top Bottom