Mazungumzo haya ya wabeba taka leo yamenifikirisha sana

Mazungumzo haya ya wabeba taka leo yamenifikirisha sana

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Leo nimeamshwa na sauti za gari la wabeba taka. Nikasikia wakizungumza kwa sauti ya juu huku wanakusanya madumu ya taka na kurusha kwenye gari.

"Usioe mwanamke ambaye atakukimbia siku ikibidi mle mboga za majani na chai" (sina uhakika kama alisema chai)

Yakafuata matusi

"Siyo unaona mwanamke tumbo limenenepeana tuu"

Yakafuata matusi mengine

Mazungumzo yale yaliendelea ila sauti ikaendelea kufifia kwa jinsi walivyokuwa wanaondoka. Nilitaka niruke kitandani labda hata nikawarekodi mazungumzo yao ila sikuwa na nguvu za kunyanyuka kwa haraka.

Sijui kwa nini nimesikia maneno haya asubuhi hii.
 
Hayo yalikuwa ni maoni yao, Kwa sababu saizi ya wanawake inayowatosha ni hao wa kula mchicha na chai, Wewe oa unayeweza kummudu, ukitaka wa matawi ya juu lazima na Wewe uwe matawi.
 
Mkuu upo nchi gani? maana huku tz ni mchana na jua ni kali kwelikweli.
Ni aibu sana Mwanaume kulala lala ovyo mpaka mchana wote huu.
Hahahaaaa! Ila watu ni watata sana. Sasa yeye kulala wewe inakuhusuje!
 
Leo nimeamshwa na sauti za gari la wabeba taka. Nikasikia wakizungumza kwa sauti ya juu huku wanakusanya madumu ya taka na kurusha kwenye gari.

"Usioe mwanamke ambaye atakukimbia siku ikibidi mle mboga za majani na chai" (sina uhakika kama alisema chai)

Yakafuata matusi

"Siyo unaona mwanamke tumbo limenenepeana tuu"

Yakafuata matusi mengine

Mazungumzo yale yaliendelea ila sauti ikaendelea kufifia kwa jinsi walivyokuwa wanaondoka. Nilitaka niruke kitandani labda hata nikawarekodi mazungumzo yao ila sikuwa na nguvu za kunyanyuka kwa haraka.

Sijui kwa nini nimesikia maneno haya asubuhi hii.
Mboga za majani ni huku kwa Mungu.. Nadhani umenielewa...!
 
bila shaka walikugusa mno na mazungumzo yao, pole sana kwakupitia mengi ila jikaze ndio uanamume huo.
 
"Usioe mwanamke ambaye atakukimbia siku ikibidi mle mboga za majani na chai" (sina uhakika kama alisema chai)
Bahati mbaya wanawake hawaji na bango usoni 'HUYU ATAKUKIMBIA' ni mpaka siku utakayokula mboga za majani na chai ndio utajua umeoa wa aina gani.
 
Leo nimeamshwa na sauti za gari la wabeba taka. Nikasikia wakizungumza kwa sauti ya juu huku wanakusanya madumu ya taka na kurusha kwenye gari.

"Usioe mwanamke ambaye atakukimbia siku ikibidi mle mboga za majani na chai" (sina uhakika kama alisema chai)

Yakafuata matusi

"Siyo unaona mwanamke tumbo limenenepeana tuu"

Yakafuata matusi mengine

Mazungumzo yale yaliendelea ila sauti ikaendelea kufifia kwa jinsi walivyokuwa wanaondoka. Nilitaka niruke kitandani labda hata nikawarekodi mazungumzo yao ila sikuwa na nguvu za kunyanyuka kwa haraka.

Sijui kwa nini nimesikia maneno haya asubuhi hii.
Dongo kwa sa100 [emoji1787]tumesha jua
 
Nimesoma sijaelewa,nikarudia tena na tena kusoma nikagundua kweli sijaelewa kilichoandikwa[emoji28]

Alafu Uzi upo jukwa la siasa..Safi sana [emoji28]
Nilidhani ni hii bangi niliyovuta imesababisha nisielewe kumbe na wengine hamjaelewa kama mimi
 
Leo nimeamshwa na sauti za gari la wabeba taka. Nikasikia wakizungumza kwa sauti ya juu huku wanakusanya madumu ya taka na kurusha kwenye gari.

"Usioe mwanamke ambaye atakukimbia siku ikibidi mle mboga za majani na chai" (sina uhakika kama alisema chai)

Yakafuata matusi

"Siyo unaona mwanamke tumbo limenenepeana tuu"

Yakafuata matusi mengine

Mazungumzo yale yaliendelea ila sauti ikaendelea kufifia kwa jinsi walivyokuwa wanaondoka. Nilitaka niruke kitandani labda hata nikawarekodi mazungumzo yao ila sikuwa na nguvu za kunyanyuka kwa haraka.

Sijui kwa nini nimesikia maneno haya asubuhi hii.
Naomba nitambue kwanza jinsia yako ili niweze kuchangia chochote kitu.
 
Hayo yalikuwa ni maoni yao, Kwa sababu saizi ya wanawake inayowatosha ni hao wa kula mchicha na chai, Wewe oa unayeweza kummudu, ukitaka wa matawi ya juu lazima na Wewe uwe matawi.
Billnas mbona sio tawi na kaoa nandy? [emoji2]
 
Usikariri maisha. Ukilala wewe unataka kila mtu akalale? Nyie ndiyo mnatengeneza vazi la taifa eti tuvae tufanane.

Mkuu upo nchi gani? maana huku tz ni mchana na jua ni kali kwelikweli.
Ni aibu sana Mwanaume kulala lala ovyo mpaka mchana wote huu.
 
Back
Top Bottom