Mazungumzo haya ya wabeba taka leo yamenifikirisha sana

Mazungumzo haya ya wabeba taka leo yamenifikirisha sana

Ukweli mchungu. Vijana wengi wanaishia kuoa wanaharakati. Unakuta kijana kaoa janamke baya nenepeana hovyo halina mvuto ila kijana katekwa nyara analihudumia vitu vya gharama na analazimishwa alipost status na alisevu MY WIFE ha ha ha
 
Kweli ulikua umelala... [emoji2960][emoji2960][emoji1783]
Ukute ata hakukua na wabeba taka n ndoto tu uliota [emoji41] alaf Kama tafsir ake inaeleweka mbona [emoji28][emoji28]
 
Hayo yalikuwa ni maoni yao, Kwa sababu saizi ya wanawake inayowatosha ni hao wa kula mchicha na chai, Wewe oa unayeweza kummudu, ukitaka wa matawi ya juu lazima na Wewe uwe matawi.
Wewe ndo hujawaelewa!!!

Leo unaweza kuwa na uwezo wa size ya mwanamke wa nyama kwa wiki mara tatu kesho huijui channel zako za hela zikajifunga ikabidi uhamie mchicha mara 29 kwa mwezi nyama mara moja tu akakukimbia.

Nimeshangaa wabeba taka wamekuzidi hata wewe akili,ungesema achukue size ya mchicha na chai potelea mbali maisha yakibadilika mbele ya safari akawa na uwezo wa nyama
 
Nashangaa bado unashindwa kuelewa, chukua wa saizi Yako ova
Wewe ndo hujawaelewa!!!

Leo unaweza kuwa na uwezo wa size ya mwanamke wa nyama kwa wiki mara tatu kesho huijui channel zako za hela zikajifunga ikabidi uhamie mchicha mara 29 kwa mwezi nyama mara moja tu akakukimbia.

Nimeshangaa wabeba taka wamekuzidi hata wewe akili,ungesema achukue size ya mchicha na chai potelea mbali maisha yakibadilika mbele ya safari akawa na uwezo wa nyama
 
Back
Top Bottom