wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mgonjwa:kwa hiyo dokta saa hivi unanipeleka nyumbani.
Dokta:ndio naona sasa umepona kabisa inafaa ukakae nyumbani.
Mgonjwa:safi sana nafurahi mno maana ni siku nyingi sijaona mke wangu na watoto wangu.
Dokta:ni kweli tuombe Mungu tufike salama.
Baada ya kukaribia nyumbani kwa mbalii mgonjwa wa akili akiwa na dokta wakaona watoto wawili wamevaa sare za shule wanatoka ndani
Mgonjwa;wale palee watoto wangu wanajiandaa kwenda shule.
Dokta:kweli naona sasa unepona kabisa.
Mara akatoka na mwanamke mle.
Mgonjwa;na yule pale ni mke wangu tena amenenepa sana nafurahi kumwona.
Dokta;kweli sasa umepona kabisa hadi mkeo unamkumbuka?kweli mgonjwa wangu Mungu ni mkubwa sasa umepona kabisa.
Mara mle ndani akatokeza jamaa na bag mkononi.
Mgonjwa:na yule ni mimi najiandaa kwenda kazini.
Dokta ndio anasubiri gari na pingu wamkamate mgonjwa wao warudishe hospitali[emoji23][emoji23]
Dokta:ndio naona sasa umepona kabisa inafaa ukakae nyumbani.
Mgonjwa:safi sana nafurahi mno maana ni siku nyingi sijaona mke wangu na watoto wangu.
Dokta:ni kweli tuombe Mungu tufike salama.
Baada ya kukaribia nyumbani kwa mbalii mgonjwa wa akili akiwa na dokta wakaona watoto wawili wamevaa sare za shule wanatoka ndani
Mgonjwa;wale palee watoto wangu wanajiandaa kwenda shule.
Dokta:kweli naona sasa unepona kabisa.
Mara akatoka na mwanamke mle.
Mgonjwa;na yule pale ni mke wangu tena amenenepa sana nafurahi kumwona.
Dokta;kweli sasa umepona kabisa hadi mkeo unamkumbuka?kweli mgonjwa wangu Mungu ni mkubwa sasa umepona kabisa.
Mara mle ndani akatokeza jamaa na bag mkononi.
Mgonjwa:na yule ni mimi najiandaa kwenda kazini.
Dokta ndio anasubiri gari na pingu wamkamate mgonjwa wao warudishe hospitali[emoji23][emoji23]