Mazungumzo ya doctor wa magonjwa ya akili akiwa njiani kumrudisha mgonjwa wake aliepona ukichaa wa akili

Mazungumzo ya doctor wa magonjwa ya akili akiwa njiani kumrudisha mgonjwa wake aliepona ukichaa wa akili

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Mgonjwa:kwa hiyo dokta saa hivi unanipeleka nyumbani.
Dokta:ndio naona sasa umepona kabisa inafaa ukakae nyumbani.
Mgonjwa:safi sana nafurahi mno maana ni siku nyingi sijaona mke wangu na watoto wangu.
Dokta:ni kweli tuombe Mungu tufike salama.

Baada ya kukaribia nyumbani kwa mbalii mgonjwa wa akili akiwa na dokta wakaona watoto wawili wamevaa sare za shule wanatoka ndani

Mgonjwa;wale palee watoto wangu wanajiandaa kwenda shule.
Dokta:kweli naona sasa unepona kabisa.
Mara akatoka na mwanamke mle.
Mgonjwa;na yule pale ni mke wangu tena amenenepa sana nafurahi kumwona.

Dokta;kweli sasa umepona kabisa hadi mkeo unamkumbuka?kweli mgonjwa wangu Mungu ni mkubwa sasa umepona kabisa.
Mara mle ndani akatokeza jamaa na bag mkononi.

Mgonjwa:na yule ni mimi najiandaa kwenda kazini.

Dokta ndio anasubiri gari na pingu wamkamate mgonjwa wao warudishe hospitali[emoji23][emoji23]
 
Mgonjwa:kwa hiyo dokta saa hivi unanipeleka nyumbani.
Dokta:ndio naona sasa umepona kabisa inafaa ukakae nyumbani.
Mgonjwa:safi sana nafurahi mno maana ni siku nyingi sijaona mke wangu na watoto wangu.
Dokta:ni kweli tuombe Mungu tufike salama.

Baada ya kukaribia nyumbani kwa mbalii mgonjwa wa akili akiwa na dokta wakaona watoto wawili wamevaa sare za shule wanatoka ndani

Mgonjwa;wale palee watoto wangu wanajiandaa kwenda shule.
Dokta:kweli naona sasa unepona kabisa.
Mara akatoka na mwanamke mle.
Mgonjwa;na yule pale ni mke wangu tena amenenepa sana nafurahi kumwona.

Dokta;kweli sasa umepona kabisa hadi mkeo unamkumbuka?kweli mgonjwa wangu Mungu ni mkubwa sasa umepona kabisa.
Mara mle ndani akatokeza jamaa na bag mkononi.

Mgonjwa:na yule ni mimi najiandaa kwenda kazini.

Dokta ndio anasubiri gari na pingu wamkamate mgonjwa wao warudishe hospitali[emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom