Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
 
Huko CCM kila anayeamka na hang'over anajizushia tu. Vyama uchwara hivyo amba kila Chadema inapokuwa na jambo lake vinakusanywa na CCM na kushonewa suti za kwenda kuitishia press conference ya kuilaani Chadema ndiyo leo hii ikakae navyo kupanga mikakati. Jitahidini basi hata kama ni uongo ufanane kidogo na ukweli.
 
Wala hakuna kitu kama hicho, upinzani kimebakia CHADEMA tu hata bila kuungana hakuna mpinzani mwingine anaweza fikisha hata 1% ya kura za Urais zaidi ya chadema pekee
huwezi jua,
1 ya hao wengine na 1 ya Chadema jumla 2 inaweza kua angalau kufuta aibu 🐒

anyway wacha tusubiri mazungumzo rasmi kwanza kama yatafanikiwa
 
Wala hakuna kitu kama hicho, upinzani kimebakia CHADEMA tu hata bila kuungana hakuna mpinzani mwingine anaweza fikisha hata 1% ya kura za Urais zaidi ya chadema pekee
Moderator mnazo namba ya Mwenyekiti na Makamu wake, lakini mmepiga kimya kuruhusu JF kuwa kiwanda cha uongo.
Mbaya zaidi hakuna asiyejua mleta mada ni jitu ongo wakati wote
 
Walivyokuwa hawana maana watasimamisha tundu lisu .. kama wapinzani wanataka mgombea ambaye ataleta changamoto kidogo basi ni ZITO
nadhani yeyote watakae mkubali wote kwa kauli moja anaweza kua kitu 🐒
 
Jinga sana wewe yaani ZITO awe mpinzani? Haijawahi tokea tangu vyama vya upinzani vianze kupatikana kijana mwanifu kama ZITO kutoka ccm
hakuna haja kuparuana kwa visingizio vya hisia ambazo si muhimu, nadhani wapinzani watakao fanikiwa kukutana watajulikana na kukubaliana itakavyo faa 🐒
 
Back
Top Bottom