Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #41
muhimu zaidi katika siasa ni kuzungumza, kisha lile la maana na lenye manufaa kwa wote mnakubaliana namna ya kulifanya, msipokubaliana kila moja anaendelea na utaratibu wake...Kama ni kweli, ningekuwa chadema kaa kazi kubwa wakiyofanya nisingekubali kabisa. Wamefanya kazi kubwa sana na ndio wanaaoleweka sehemu kubwa ya Tz. Act wapo maeneo machache sana. Watched hivyo vikao, kila mmoja ashinde mechi zake. Labda wasema wanawau ga mkono chadema kwenye urais wkt wabunge @ akomae mwenyewe
very simple 🐒