Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
Ishu siyo kuweka mgombea mmoja Kwa hivyo vyama,bali ni kanuni zinazosimamia uchaguzi ndiyo kikwazo.
 
Huyu ni mgonjwa wetu, ametoroka mirembe asubuhi ya leo. Chochote anachokiandika hapa, bado hajapona na kakimbia matibabu. Mchukulieni hivyohivyo.
kumbe ni miongoni Bibi?🐒

sikujua,
nilijua ulishaponaga kumbe bado mihemko na ghadabu zisizo na maana zinasumbia mutima wako? aise pole sana 🐒

usife moya yataisha tu 🐒
 
Huko CCM kila anayeamka na hang'over anajizushia tu. Vyama uchwara hivyo amba kila Chadema inapokuwa na jambo lake vinakusanywa na CCM na kushonewa suti za kwenda kuitishia press conference ya kuilaani Chadema ndiyo leo hii ikakae navyo kupanga mikakati. Jitahidini basi hata kama ni uongo ufanane kidogo na ukweli.
kwahiyo kila anae amka anakutana na mihemko na ghadhab za nguvu, right?🐒

kwahiyo Chadema watakataa mazungumzo hayo ikiwa yatakua rasmi? siitagawanyika sasa?🐒
 
Moderator mnazo namba ya Mwenyekiti na Makamu wake, lakini mmepiga kimya kuruhusu JF kuwa kiwanda cha uongo.
Mbaya zaidi hakuna asiyejua mleta mada ni jitu ongo wakati wote
wanachama lialia kindakindaki mmeanza kuyagomea mazungumzo kabla hata hayajawa rasmi, hatari sana hii 🐒
 
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
Hakuna uchaguzi hapa Tanzania, kuna maigizo ya kupotezeana muda. Mazombie tu ndio watajitokeza kushiriki chaguzi hizi za kipuuzi.
 
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
Bila ya act wanapoteza muda wao tu
 
Ishu siyo kuweka mgombea mmoja Kwa hivyo vyama,bali ni kanuni zinazosimamia uchaguzi ndiyo kikwazo.
uchaguzi ulopita ACT wazalendo walimtosa mgombea urais wao Hayati Bernard Membe, na kumsapoti mgombea urasi wa chama kingine katika ya kampeni, waliwezaje? 🐒

ni kujipanga tu my friend 🐒
 
Hakuna uchaguzi hapa Tanzania, kuna maigizo ya kupotezeana muda. Mazombie tu ndio watajitokeza kushiriki chaguzi hizi za kipuuzi.
wewe kaa nyumbani uliyowataja watakuchagulia kiongozi, ili uje kulia lia vizuri sana 🐒
 
Walivyokuwa hawana maana watasimamisha tundu lisu .. kama wapinzani wanataka mgombea ambaye ataleta changamoto kidogo basi ni ZITO
Wewe utakuwa ni njiwa kweli, mti wenye matunda ndio urushiwa mawe.
 
Ni kweli, maana hata nikienda bado nachaguliwa kiongozi na system ya majizi.
halafu matokeo yake mihemko na ghadhabu vinakuja kukutesa zaidi moyoni, dah haya maisha bana 🐒
 
Wewe ndiye una mchecheto kuleta habari za uzushi
soma vizuri uelewe, kisha uwe mstahimilivu na mwenye subra ili kubaini mbivu na mbichi kwa wakati muafaka 🐒

hii ni siasa, chochote chaweza kutokea wakati wowote popote 🐒
 
Kama ni kweli, ningekuwa chadema kaa kazi kubwa wakiyofanya nisingekubali kabisa. Wamefanya kazi kubwa sana na ndio wanaaoleweka sehemu kubwa ya Tz. Act wapo maeneo machache sana. Watched hivyo vikao, kila mmoja ashinde mechi zake. Labda wasema wanawau ga mkono chadema kwenye urais wkt wabunge @ akomae mwenyewe
 
Back
Top Bottom