Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ni CCM pekee, right?🐒
Very wrong. Chama pekee kinachobebwa na nguvu ya umma (people’s power) ni CHADEMA. Ndio sababu serikali ya CCM awamu zote hawataki katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi. Wanajua uchaguzi huru na wa haki (bila mbeleko ya dola) ni kaburi la CCM.

Angalau Kikwete alijaribu kujitutumua kwenye suala la katiba lakini akashambuliwa kuwa anataka chama kimfie mikononi mwake. That’s the reality.
 
Very wrong. Chama pekee kinachobebwa na nguvu ya umma (people’s power) ni CHADEMA. Ndio sababu serikali ya CCM awamu zote hawataki katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi. Wanajua uchaguzi huru na wa haki (bila mbeleko ya dola) ni kaburi la CCM.

Angalau Kikwete alijaribu kujitutumua kwenye suala la katiba lakini akashambuliwa kuwa anataka chama kimfie mikononi mwake. That’s the reality.
Realty ni kwamba chama ulichokitaja hukataliwa na wanainchi kila chaguzi, muda usokua mrefu baadae mwaka huu serikali za mitaa kinakataliwa vibaya na kwa aibu sana 🐒

na mwaka ujao Uchaguzi mkuu kinakataliwa kwa kishindo Zaidi 🐒
 
Huwezi kuchukua nchi ukawapa CDM. Jmn tuwe serious CDM wakipata madaraka watakuwa kama WANAZI enzi za Hitler
 
Huwezi kuchukua nchi ukawapa CDM. Jmn tuwe serious CDM wakipata madaraka watakuwa kama WANAZI enzi za Hitler
hoja sio kuwapa nchi, ni Muungano tu wa upinzani katika kujiimarisha kisiasa walau wawepo kwenye medani 🐒
 
Upuuuzi....Safari hii CHADEMA wapambane kivyao ...habebwi mtu hapa eti aachiwe jimbo wa CHAUMA na chopa kabisa itue huko?!...hata UKAWA iliwabana tu kujitanua...peke yao wanaweza
 
Realty ni kwamba chama ulichokitaja hukataliwa na wanainchi kila chaguzi, muda usokua mrefu baadae mwaka huu serikali za mitaa kinakataliwa vibaya na kwa aibu sana 🐒

na mwaka ujao Uchaguzi mkuu kinakataliwa kwa kishindo Zaidi 🐒
Jitoe ufahamu sasa....!CHADEMA wana takribani mwaka tongu wafunguliwe ila wametia harufu yao kila pembe ya nchi hii.CCM na Samia hawaamini na uliwaona walivyokata mauno kumpokea Msigwa....wanahisi ni msaada.....Serikali za mitaa CCM watachakazwa mno( mark my words)
 
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
Haitakaa itokee Tanzania. Subiri tu mwaka ufike halafu uniambie hayo mazungumzo yamefikia wapi.

Ova
 
Jitoe ufahamu sasa....!CHADEMA wana takribani mwaka tongu wafunguliwe ila wametia harufu yao kila pembe ya nchi hii.CCM na Samia hawaamini na uliwaona walivyokata mauno kumpokea Msigwa....wanahisi ni msaada.....Serikali za mitaa CCM watachakazwa mno( mark my words)
ni mark ramli na mihemko 🤣
 
Ukombozi wa nchi ni labda wananchi waungane kwa pamoja dhidi ya ccm!
Na hiyo ni shughuli ya generation ijayo!
 
Nakuheshimu,ila kwenye hili umepuyanga mno comrade
Inasemekana CHAUMMA, CHADEMA, CUF, Sauti ya waTanzania na ADA-TADEA wameanza tayari mazungumzo ya awali yasiyo rasmi.

Mazungumzo rasmi ya kimkakati yanaeledea kuwekwa utaratibu mzuri na waleta pendekezo hilo, ambao ni miongoni mwa wanasiasa na wanaharakti wa ndani na nje ya nchi.

Unadhani chama gani kitaaminiwa na wengine na kupewa ridhaa na dhamana hiyo kubwa na nzito ya kupepreusha bendera ya urais, ikiwa agenda hii ikwafanikiwa kua rasmi?

Mgombea atakuwa nani?

Kumbuka kwa upande mwingine, kuna vyama vya siasa vya upinzani pia, havitasimamisha wagombea Urais, badala yake vitamuunga mkono mgombea Urais wa chama tawala 🐒
 
Ukombozi wa nchi ni labda wananchi waungane kwa pamoja dhidi ya ccm!
Na hiyo ni shughuli ya generation ijayo!
nadhani wananchi wameungana zaidi na CCM yenyewe, ama huoni hiyo 🐒
 
Back
Top Bottom