Pre GE2025 Mazungumzo ya Upinzani kusimamisha mgombea Urais wa pamoja 2025 yanukia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tangazo Tangazo
Huyu ni mgonjwa wetu, ametoroka mirembe asubuhi ya leo. Chochote anachokiandika hapa, bado hajapona na kakimbia matibabu. Mchukulieni hivyohivyo.
 
Tangazo Tangazo
Huyu ni mgonjwa wetu, ametoroka mirembe asubuhi ya leo. Chochote anachokiandika hapa, bado hajapona na kakimbia matibabu. Mchukulieni hivyohivyo.
umegraduate ndio ukapata Tatizo hilo au ulikuako kwenye matibabu mirembe hata kabla ya kugraduate?πŸ’
 
Kwa sasa wameungna pamoja na ccm kwa sababu za ujinga na umaskini!
Kuna generation lazima itapindua meza!
itapinduaje akati mtu anazaliwa CCM, anakulia CCM na anakua mtu mzima na kiongozi CCM?πŸ’

hiyo generation itatoka wap, au ndio hii ya akina generali na warioba nao kujifanya vijana 🀣
 
itapinduaje akati mtu anazaliwa CCM, anakulia CCM na anakua mtu mzima na kiongozi CCM?πŸ’

hiyo generation itatoka wap, au ndio hii ya akina generali na warioba nao kujifanya vijana 🀣
Mkuu Iko hivi... Nothing is permanent! ccm ilianza kama jembe na nyudo... Ikajipindua sa hivi ni ya machawa...

Mapinduzi yanaendelea wataaza chukua chao mapema wagawane mbao... Kama ukoo wa kambale wote watajiona muhimu... Wa kudhibiti misukosuko chamani wote watakuwa makaburini!

Ndipo vijana waliopewa bora elimu wataona hawana chakupoteza!
 
kwa unyonge na udhaifu wa hoja namna hiyo kwamba ati kuna generations ya kuja kuinfluence mageuzi CCM thubutu πŸ’

CCM ndio itakayoendelea kuinfluence mindset za generations mbalimbali na kuziconvert ziwe upande wao kwasabb wana hoja zenye mashiko kuwavutia hususani vijana wengi πŸ’

sasa hawa wa mihemko, ghadhabu na kuporomosha matusi ndio wataleta mageuzi kweli 🀣
 
Nothing is permanent!
Unyonge una ukomo!
 
Walivyokuwa hawana maana watasimamisha tundu lisu .. kama wapinzani wanataka mgombea ambaye ataleta changamoto kidogo basi ni ZITO
ati?
Huyu mwenye kushiriki zoezi la dipiworld au mwingine?
act kwani bado ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…