Mazungumzo ya Urusi, Ukraine yaanza, waandishi wa habari watolewa ukumbini

Mazungumzo ya Urusi, Ukraine yaanza, waandishi wa habari watolewa ukumbini

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mazungumzo kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi kuhusu uvamizi Ukraine yameanza nchini Belarus, kabla ya mkutano kuanza, waandishi wa habari wametolewa nje.

Mwenyeji wa wageni hao ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus, Vladimir Makei amewakaribisha wajumbe hao na kuwataka wajihisi wapo salama.

Mazungumzo hayo yanaendelea leo Jumatatu Februari 28, 2022.
 
Jambo la kheli lakini nimeanza kuamini hawa wazungu wanabebana sana
 
Hahahahah unamaanisha hawataki wauane zaidi, wanawapatanisha mapema sio?

Mkuu wazungu hawa ki ukweli kabisa hawataki wauwane zaidi na hii vita ki msingi ni kama vita za mchongo tu waanacha kusema uvamizi wanasema vita na baada ya hapo hakuna atakae buruzwa mahakamani wala wapi na vikwazo vya urusi wataanza kuviondoa
 
Mbona hatupati feedback kuhusu yaliyojadiliwa kwenye Kikao!?? Yaani Ukrainian na Russian wa JF mmeamua Kutuficha kweli. Wakati vikao vyote vya maanuzi na vya ndani kabisa huwa mnashiriki
 
Mbona hatupati feedback kuhusu yaliyojadiliwa kwenye Kikao!?? Yaani Ukrainian na Russian wa JF mmeamua Kutuficha kweli. Wakati vikao vyote vya maanuzi na vya ndani kabisa huwa mnashiriki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Katika hii Dunia ukiwa una miliki silaha za Nuclear, hakuna Taifa lolote duniani litakusogelea, maana bomu Moja tu pale NYC, madhara yake ni zaidi ya Miaka 50, hiki ndiyo kitu ambacho mataifa mengine yanamuogopa Mrusi...!

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Katika hii Dunia ukiwa una miliki silaha za Nuclear, hakuna Taifa lolote duniani litakusogelea, maana bomu Moja tu pale NYC, madhara yake ni zaidi ya Miaka 50, hiki ndiyo kitu ambacho mataifa mengine yanamuogopa Mrusi...!

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Na ndiyo maana vita hii itaishia katika meza ya mazungumzo, Urusi noma

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom