Mazuri ya Magufuli ya kuendelezwa...

Mazuri ya Magufuli ya kuendelezwa...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Watu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ...

Ukweli ni kuwa mazuri ya Magufuli yanafahamika na yanajulikana ambayo tungependa yaendelezwe. ..

Laiti kama Yale ambayo sio mazuri yasingekuwepo kama watu kupigwa risasi
Na kupotea ..na watu kulazimishwa kumsifia...basi wengi walio mpinga wasingempinga...

Binafsi haya ningependa yaendelezwe hata kama sikuwahi kumpigia kura ..

1. Price control petroli, nauli za mabasi na kadhalika. Eneo Hilo alijitahidi sana.

2. Majambazi na uhalifu eneo Hilo pia nampa A ..

3. Inflation Kwa ujumla

4. Safari za nje zisizo na ulazima
Ingawa natamani Mama alegeze kidogo
Lakini sio level ya JK..

5. Kudhibiti Viongozi wa dini..
Kama aliwadhibiti au walimbeba
But hii adabu Kwa Rais ningependa iendelee sio waraka na matamko kama wakati wa JK..

Na mengine mengi.

Bottom line wanaompinga wengi Wana hoja hata kama mazuri mengi kafanya kama hayo na mengineyo..

Yes na hili la kupinga lockdown binafsi naona alikuwa sahihi only alikosea kupinga barakoa.
 
Isn’t he dead and buried?

Maximum obsession and perhaps wet dreams as well🤣🤣

Pure hilarity.
 
Tunajadili mada ya muhimu ambayo inaweza kuathiri maisha yako binafsi wewe na watoto wako, lakini umeamua kuleta mizaha isiyo na msingi. Sifahamu nini haswa lengo lako kuvuruga huu mjadala kwa makusudi.....
Kwani hayo ya kutekwa Mo si ni mazuri yalifanywa kipindi cha Magufuli au namsingizia?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mazuri ya dikiteta magufuli yanayopaswa kuendelezwa ni kuvunja katiba kadiri ya uwezavyo, kudhibiti bunge na mahakama.
 
Anayedharau katiba, raia, mahakama, bunge, kujichotea trillions hazina kiholela, kuumiza raia chungu nzima kwa dhuluma na udhalimu, kufukuza Wafanyakazi kidikteta huyo sina chochote cha kumuenzi apite KUSHOTO TU!
Nikiwa kama mtumishi wa umma, atanisamehe tu huko aliko. Ila kiukweli sina jambo lolote lile la kumsifia kwa miaka yake yote aliyokaa madarakani. Zaidi naona alituumiza tu.
 
Naungana nawewe kwa asilimia100 mwendazake sikuwahi kumpa kula lakini katika suala la lockdown nampa congore kwa sababu ni mfupa uliowashinda maraisi wengi wa africa lakn pia imefanya uchumi wetu wa taifa na mtu mmoja mmoja kuwa vzur..
So mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom