Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,168
Uwepo wa umeme nampa A+Watu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwepo wa umeme nampa A+Watu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ..
100Aliposema nanukuu,
Mtu anachafua na kutukana viongozi vyombo vya ulinzi na usalama mnamwangalia tu.
Mara paaaap Lissu kala shaba
Amesimamia kauli.
Mnampa alama gani?
IliyotukukaATCL kutoa gawio kwa serekali wakati inatengeneza hasara.Hii naweza kusema ni record ya dunia.
Hizo flyover na interchange ni Grant kutoka kwa serikali ya Japan. Hatutoi hata senti. Ziko 6 jumla na mkataba walishaini na serikali tangu JK hajaondoka.Mfugale flyover
Ubungo interchange
Viwanda 3000 (usiulize vilipo we jua tu vipo)
N.k
N.k
Walikuwa tu wanapika dataInflation unamaanisha hii hii ya mfumuko Wa bei au!? Kama ni hiyo basi mheshimiwa kwa kiasi flani alikwama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuli miundombinu eti ni akili za darasa la 2A.Na miundombinu pia ana A ya 100. Na usimamizi wa kauli na maagizo yake ana A kali.
We jamaa nawe una msongo wa mawazo...watu kusema ya kuenzi kwa rais aliyepita imekuwa obsession?Isn’t he dead and buried?
Maximum obsession and perhaps wet dreams as well🤣🤣
Pure hilarity.
Kama kawaida yako mzee wa kupinga kila kitu umekuja[emoji28]Kauli za kumzuia CAG ili asikague ATCL ili afiche UOZO uliokithiri ATCL!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Wewe umelipwa kiasi gani kuja kupost?Umelipwa kiasi gani kuja kufanya hii kampeni
So what?Siku kama ya jana yaani machi 10 BBC ilipost kuhusu ugonjwa wa Magufuli.
(Hii ni historia)
La msingi ni moja tu ...tuenzi mema ya Magufuli