GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
hapana hatujapigwaInjinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.
Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Duuuh kwa stahili hii bandari zitauzwa sana🤔🤔🤔Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.
Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Nimecheka sana aiseeHii nchi itaendelea kuingia mikataba ya hovyo had pale mifumo yetu ya elimu itakapo rekebishwa
Huyu mleta mada n msomi wa pale SAUT fikiria huyu ndio think tank wa familia kutoka bunda
Jiulize hao wanaomuamin katika utatuz wa mambo ya kifamilia wanna Hali gan katika ubongo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga itatumia Billion 20 kwa msimu mmoja, wakati huohuo Mwamedi ametumia Billion 20 za maandishi ( siyo cash) kuinunuwa Simba milele.Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.
Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.
Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.
Injinia kwao ni Kinondoni Mkwajuni.. hiyo kariakoo labda ya kwenu huko bunda vijijini murutunguru unapoishi wewe.. wacha kujifanya mjuaji wakati hujui chochoteInjinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu.
Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa Wewe ni Mtoto wa Mjini tena Kariakoo ambako ili Kuwafunga kabisa Mdomo na wasihoji Mambo mengi ya Kimsingi ukaamua Kukonga Nyoyo zao na Kuwatajia Kocha Mbovu kuliko Wote kuwqhi kutokea Mafurikoni Vyura SC.