MB Dogg vs Z. Anto

MB Dogg vs Z. Anto

Acha kumfananisha Mb Doggy na Z. Anto.

Mb Doggy ana HITS nyingi sana kuliko Z. Anto.

( Sidhani kama mtu hajawahi kutumia ngoma zake kama Dedication kwenye mapenzi ).

Mb Doggy Pia amewahi kuwa kwenye PEAK kama ilivyo kwa Juma Nature, AliKiba au Diamond wakati Z. Anto Hajawahi.

Binafsi Ngoma za Z. Anto ninazozikubali ni Kisiwa Cha MalaviDavi, Mpenzi Jini, Binti Kiziwi na Disco Vumbi wakati kwa Mb Doggy HITS zake utachoka kuhesabu.
Halafu huyo Z anto alikopi kila kitu kutoka kwa MB Doggy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki ni kuanzia 2013 kwenda Mbele huko nyuma hamna mziki ni Mashudu tu. Manyiiimbo marefuuuuu unasikiliza nyimbo Kama unasikiliza matangazo ya Vifo.

Alafu Yaaani kweli kabisa msanii unajiita Mb Doggy? Hivi walikuwa hawana advisors? Kuna mwengine naskia alikuwa anaitwa Bushoke. SMH 🤦‍♂️
 
MB Dog ni habari nyingine, alikuwa na hits song nyingi kumzidi hata huyo Z Anton.

Kuna nyimbo kama Latifa, Si uliniambia na Sagablasha.

Hiyo Sagablasha ni balaa,baadhi ya mistari;
Sagablasha alivaa kitopu cha bluu kimeandikwa karibu Bujumbura, nikamtafuta nimwone sikumwona tena.
Madee alitembea sana mle,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki ni kuanzia 2013 kwenda Mbele huko nyuma hamna mziki ni Mashudu tu. Manyiiimbo marefuuuuu unasikiliza nyimbo Kama unasikiliza matangazo ya Vifo.

Alafu Yaaani kweli kabisa msanii unajiita Mb Doggy? Hivi walikuwa hawana advisors? Kuna mwengine naskia alikuwa anaitwa Bushoke. SMH 🤦‍♂️
Muziki mzuri ulisikika miaka ya 2004_2007 hii miziki ya sasa ni uchafu
 
Sina uhakika sana ila nafkir Z anto ame hit sambamba na marlaw wala s Mb dog, Mb dog amewatangulia sana ngoma kama ratifa n ya kitambo na alikua anatoa hit back 2 back, labda ngoma yake ya sabrasha ndo imetoka teyar z anto anaskika. Kwa upande wa nan mkali, Mb dog alitishaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Z anto na Mb Dogg wote wakali ila Mb Dogg mkali zaidi pia mziki wakati huo mzki ulikuwa mkali sana, ila hapo kwenye 2003/2004 umezingua
 
Sina uhakika sana ila nafkir Z anto ame hit sambamba na marlaw wala s Mb dog, Mb dog amewatangulia sana ngoma kama ratifa n ya kitambo na alikua anatoa hit back 2 back, labda ngoma yake ya sabrasha ndo imetoka teyar z anto anaskika. Kwa upande wa nan mkali, Mb dog alitishaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mb dog haikuwa back to back sababu ilitoka albamu nakumbuka nilinunua tape kwa 1200 kipindi hicho..kuna kipindi z.anto aliisimamisha game ya bongo na alikuwa top
 
Thread closed!


Mb Doggy babaaa! Umepita bila kupingwa😅
 
Back
Top Bottom