Halafu huyo Z anto alikopi kila kitu kutoka kwa MB DoggyAcha kumfananisha Mb Doggy na Z. Anto.
Mb Doggy ana HITS nyingi sana kuliko Z. Anto.
( Sidhani kama mtu hajawahi kutumia ngoma zake kama Dedication kwenye mapenzi ).
Mb Doggy Pia amewahi kuwa kwenye PEAK kama ilivyo kwa Juma Nature, AliKiba au Diamond wakati Z. Anto Hajawahi.
Binafsi Ngoma za Z. Anto ninazozikubali ni Kisiwa Cha MalaviDavi, Mpenzi Jini, Binti Kiziwi na Disco Vumbi wakati kwa Mb Doggy HITS zake utachoka kuhesabu.
Nipo hapa nasikiliza ngoma moja hivi inaitwa ( imani sina moyoni bonge la pini )Yaani MB Doggy unamfananisha na Z Anto ?
Umekosa size yake mpaka umfananishe na watoto ?
Huyo Z anto hata Spark hamfikii uje umlinganishe na MB Doggy ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo za Z anto zinafaa kusikilizwa na wavulana walioko balehe ya kwanzaNipo hapa nasikiliza ngoma moja hivi inaitwa ( imani sina moyoni bonge la pini )
Inaonekana uliruka sana disco vumbiNyimbo za Z anto zinafaa kusikilizwa na wavulana walioko balehe ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kiba tu hata daimond hagusi huo moto,,KUNA VITU VYA KULINGANISHA MKUU KIDOGO UNGESEMA MB DOGGY NA KASSIMU
MB DOGGY KWENYE UBORA WAKE KIBA ANAKALISHWA CHINI
Madee alitembea sana mle,MB Dog ni habari nyingine, alikuwa na hits song nyingi kumzidi hata huyo Z Anton.
Kuna nyimbo kama Latifa, Si uliniambia na Sagablasha.
Hiyo Sagablasha ni balaa,baadhi ya mistari;
Sagablasha alivaa kitopu cha bluu kimeandikwa karibu Bujumbura, nikamtafuta nimwone sikumwona tena.
Muziki mzuri ulisikika miaka ya 2004_2007 hii miziki ya sasa ni uchafuMziki ni kuanzia 2013 kwenda Mbele huko nyuma hamna mziki ni Mashudu tu. Manyiiimbo marefuuuuu unasikiliza nyimbo Kama unasikiliza matangazo ya Vifo.
Alafu Yaaani kweli kabisa msanii unajiita Mb Doggy? Hivi walikuwa hawana advisors? Kuna mwengine naskia alikuwa anaitwa Bushoke. SMH 🤦♂️
Mb dog haikuwa back to back sababu ilitoka albamu nakumbuka nilinunua tape kwa 1200 kipindi hicho..kuna kipindi z.anto aliisimamisha game ya bongo na alikuwa topSina uhakika sana ila nafkir Z anto ame hit sambamba na marlaw wala s Mb dog, Mb dog amewatangulia sana ngoma kama ratifa n ya kitambo na alikua anatoa hit back 2 back, labda ngoma yake ya sabrasha ndo imetoka teyar z anto anaskika. Kwa upande wa nan mkali, Mb dog alitishaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu, hata kwenye Latifa napo Madee alitembea vizuri.
Mb dog haikuwa back to back sababu ilitoka albamu nakumbuka nilinunua tape kwa 1200 kipindi hicho..kuna kipindi z.anto aliisimamisha game ya bongo na alikuwa top
Itakuwa mtoto wa mwaka 2000 wewe !!Na kwa mb dog hivyo hivyo hits zinahesabika sagabraha si ulinambia
Utakuwa sio mfuatiliaji nzuri wa mziki, 2003 Z anto ni underground na hata hajulikani.
Sent using Jamii Forums mobile app
2004 october hivMwaka gani kumbukumbu