Wameshea baba[emoji28][emoji28]Samahani wakuu naomba kuuliza eti mb doggy na sogy doggy ni ndugu wa kuzaliwa pamoja
Watoto waliozaliwa enzi za Mkwere utawajua tu[emoji1]Mziki ni kuanzia 2013 kwenda Mbele huko nyuma hamna mziki ni Mashudu tu. Manyiiimbo marefuuuuu unasikiliza nyimbo Kama unasikiliza matangazo ya Vifo.
Alafu Yaaani kweli kabisa msanii unajiita Mb Doggy? Hivi walikuwa hawana advisors? Kuna mwengine naskia alikuwa anaitwa Bushoke. SMH [emoji2357]
Hivi mtu anaweza kuwa top kwa hit song mbili tu ?Mb dog haikuwa back to back sababu ilitoka albamu nakumbuka nilinunua tape kwa 1200 kipindi hicho..kuna kipindi z.anto aliisimamisha game ya bongo na alikuwa top
Hapana, Wana undugu wa mbali kama ilivyo kwa Obama na Odama.Samahani wakuu naomba kuuliza eti mb doggy na sogy doggy ni ndugu wa kuzaliwa pamoja
Hatari sana mkuu, hata kwenye Latifa napo Madee alitembea vizuri.
Nakumbuka pale anamalizia kwa kuimba "wewe ni wangu sina habari na machangu" kisha Mb Dog analalamika "kwa lolote nitakufanyia".
Kipindi mpenzi jini binti kiziwi zina heat aliwakalisha wa kina mpenzi bubu wa kina mume bwege ya Bushoke yeye ndio alikuwa kinara hata nyimbo zake tuli dedicated sana A level
Latifa vs binti kiziwi
Mziki ni kuanzia 2013 kwenda Mbele huko nyuma hamna mziki ni Mashudu tu. Manyiiimbo marefuuuuu unasikiliza nyimbo Kama unasikiliza matangazo ya Vifo.
Kuna mwengine naskia alikuwa anaitwa Bushoke. SMH 🤦♂️
Acha unafiki husikilazagi ngoma za diamondNdo yale yale ya Kumfananisha King Kiba na Diamond Wakati Ali kiba ni Mfalme wa huu Mziki.Yaani Alikiba ni G.O.A.T wa huu Mziki wa Bongo Fleva
Kama haujui Maana G.O.AT Usije hapa kushupaza shingo kama unakata gogo la ugali wa Mtama..
Acha unafiki husikilazagi ngoma za diamond
hivi mkuu ww ndo nilikupora Latifa 2013? nisamehe mkuu, ni moyo tunadhani ni 2006/2007
lakini latifa ile ngoma niliisikiliza sana 2013/14 nilimpenda demu anaitwa Latifa
kumbe unazijuaZile za Bunyero bunyero Msambwanda wa buku jero inama nipachike rugu? Au za Chezea rungu paka mgando niteleze kwenye mtaro?
ndio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahabahivi mkuu ww ndo nilikupora Latifa 2013? nisamehe mkuu, ni moyo tu
Labda umuoneshe dozi unayotumia[emoji1]ndio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahaba