Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua hii facts.Mambo vipi wadau, MB za tigo zinayeyuka sana. Kitendo cha kuunga bando tu, baada ya dakika chache wanakutumia ujumbe umetumia 75% ya kifurushi chako! Hivi ni kwangu mimi tu au ni kwa wote?
Nakubaliana na ww yaani saiv GB 1 ya tigo si lolote inaisha fasta tuChukua hii facts.
TTCL wanauza MB bei sana,sema hawakuibii hata punje.
GB 01 ya TIGO ni sawa na MB 600 za TTCL,......unajua hii mitandao ya simu,inatoa fungu kubwa kwa wakubwa,sasa huduma zote zinazoonekana ni luxury hesabu maumivu.
Chaguo ni lako,binafsi zina ulimbukeni wa kun'gan'gania mitandao,naishi kwa facts tu
Sio tigo tu-
Mambo vipi wadau, MB za tigo zinayeyuka sana. Kitendo cha kuunga bando tu, baada ya dakika chache wanakutumia ujumbe umetumia 75% ya kifurushi chako! Hivi ni kwangu mimi tu au ni kwa wote?
Wako fasta kwenye kunyonya mb t mbn kwenye ku download data yao haiko fasta kiivo kama unavyosema wewSio kweli, acheni upotoshaji, tigo wako faster ktk MB zao kwa sababu wanatumia 5 G, hiyo ndio sababu, sababu nyingine ni upotoshaji t
Daah hatarZa Airtel ni balaa.
Jana nilinunua bundle la data la sh. 15,000 leo limeisha
Hakuna namnaa ni kuvumilia tuTigo na airtel wanaiba bundle bila hata kuona aibu, at least voda naridhika ingawa bado nao maumivu yapo tunavumilia tu
Nilitaka nihame voda kwenda airtel, aisee hata siku haikuisha nilirudi kimyakimya bila hata malalamiko nilipotoka- bundle nimejiunga hata 10 minutes hazijapita natumiwa msg limekaribia kuisha na msg kibao kama ugomviSio tigo tu
Airtel kiboko yao zinaseleleka yaan usipakue kitu tu hio hapo meseji umetumia 75% ya MB zako 850, ukiingia insta umekwesha jioni haifiki umetumia 100% ya MB zako
Daaah yaaan me mwez ulopita nakumbuka nilikua nikiunga mb za buku kwa tigo navuuka nazo mpk siku ya pili ila sas haifiki ata nusu siku naambiwa mb zimeishaSio tigo tu
Airtel kiboko yao zinaseleleka yaan usipakue kitu tu hio hapo meseji umetumia 75% ya MB zako 850, ukiingia insta umekwesha jioni haifiki umetumia 100% ya MB zako
Kuna namna hii mitandao saiv wameamua kufanya sio bure nakataa katakata mb zinayeyuka fastaMwigulu kila kukicha anawaongezea Kodi unategemea nin
Halotel pekee ndio ndio nahisi bundle lake hua haliishi haraka hadi kuna wakati nikawa najiuliza hua wananiongezea bundle nini, nikijiunga wiki inaenda hadi siku 5 au 6 ndio ile meseji yao ya 'umetumia 75%' inakujaNilitaka nihame voda kwenda airtel, aisee hata siku haikuisha nilirudi kimyakimya bila hata malalamiko nilipotoka- bundle nimejiunga hata 10 minutes hazijapita natumiwa msg limekaribia kuisha na msg kibao kama ugomvi
Njoo voda uone maajabu zaidi. Ukiwasha data tu inatokea umetumia 75%Mambo vipi wadau, MB za tigo zinayeyuka sana. Kitendo cha kuunga bando tu, baada ya dakika chache wanakutumia ujumbe umetumia 75% ya kifurushi chako!
Hivi ni kwangu mimi tu au ni kwa wote?
Bongo 5G imetoka wapi?Sio kweli, acheni upotoshaji, tigo wako faster ktk MB zao kwa sababu wanatumia 5 G, hiyo ndio sababu, sababu nyingine ni upotoshaji t
Hatar kwa kweli 😂Njoo voda uone maajabu zaidi. Ukiwasha data tu inatokea umetumia 75%
Akikujibu nishtuee 😂Bongo 5G imetoka wapi?
Hakuna 5G tanzania kaka tunaishia 4G pekee na yenyewe sio maeneo yote ya nchiSio kweli, acheni upotoshaji, tigo wako faster ktk MB zao kwa sababu wanatumia 5 G, hiyo ndio sababu, sababu nyingine ni upotoshaji t