establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Hamna gari hapoUzalishaji wake ulianza 2005 Hadi 2009 si mwingine mbali ni mnyama wa barabarani nissani fuga GT 450 popote apitapo maajabu yake yanasimuliwa mpaka Kwa majirani huku kukiwa na matokeo matatu
GT 250
GT 350
GT 450
Ukilipata hili GT 450 sports version vita yake si ya kitoto barabarani
View attachment 2029269
Fuga ujinga sana spea za kulengaLabda Fuga amalize 180kph yake wewe ndio uendelee kutokea hapo!
Leta ambayo nibsedani ambayo ina 4500ccHamna gari hapo
Kwenye ligi za hapa bongo cha muhimu ni dereva wa chombo cha moto, hata uwe na BMW sijui twin turbo cc 9000. ukikutana na dereva wa bodaboda halafu kapiga k vant au kiwingu cha kutosha ukianza naye ligi yeye hana cha kupoteza ni mwendo wa mbwa atakupita kama umesimamaπ
mnyama VW GOLF Gti sioni mkizungumzia
Hybrid hazibugii below 80kph...Yeah kwenye economy atleast hybrids ziko bomba
HehehehehπHybrid hazibugii below 80kph...
Ukishavuka hapo utalia kilio kikuu.
DaaaaH nimekuelewa sana Mdau. nilikua na stress zangu nimesoma ulichoandika apa na huyu mnyama LC300 nimefurahi mnoo. u made me a happy person kunitoa stressNyie hangaikeni na hizo fuga. Ila ukitaka kuwahi na kuwa na unyama mwingi njiani hii ndio itakuwa baba lao. Kibao cha hamsini hii unaingia na 160kph kama mweweView attachment 2026295
π€£π€£π€£Hahahah subaru ni gari za wavaa vinjunga waliograduate toka kwenye ist na altezza
Nilipoiona hii gari, niliizunguka kama mara tatu.. sikufanikiwa kuingia ndani yake maana aliyekuja nayo hakuepo!Nyie hangaikeni na hizo fuga. Ila ukitaka kuwahi na kuwa na unyama mwingi njiani hii ndio itakuwa baba lao. Kibao cha hamsini hii unaingia na 160kph kama mweweView attachment 2026295
Kiboko ya mamba au πππMjapan kiboko ya wabishi
Kiboko ya mamba au πππ
hata Roli Roisi πππAcha walete kila aina ya gari, lakini break ya mwisho kwa mjapan
hata Roli Roisi πππ
mnajifichia kwenye rough road tu eeh.. kwenye mkeka vipi ππIpitishe rough road uone π
mnajifichia kwenye rough road tu eeh.. kwenye mkeka vipi ππ