Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Mbabe wa dunia yote nchi kubwa inayoogopeka na kila nchi duniani imetu.a meli 2 za kivita huko Taiwan. Na katika ujumbe wao wameonya ole wao China ijaribu kurusha kombora wataita maji mma!
Na wamesema watazidi kuleta vifaa zaidi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuipoteza china kwenye uso wa dunia. Hongereni sana marekani dunia inawategemea kutukomboa!
Na wamesema watazidi kuleta vifaa zaidi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuipoteza china kwenye uso wa dunia. Hongereni sana marekani dunia inawategemea kutukomboa!