akishakinukisha anakaa pembeni anauza silahaMarekani now days simuelewi. Anaingilia migogoro, anaichokonoaaa moto ukiwaka anakaa pembeni.
Taiwan asimuamini na kumtegemea US
Na akikuhurumia sana anakukopesha tuakishakinukisha anakaa pembeni anauza silaha
Ukraine yule pale
Wakumbushe marekani na waasi wa Cuba walivyochakazwa na Castrol wakati wa uvamizi bay of pigs Cuba.Mchina na mMarekani wamekabiliana huko Korea (1950's). mMarekani aliambiwa na mChina asivuke kaskazini kukaribia mpaka wa China na Korea...
Mbona hajatuma hizo Meli Ukraine?Mbabe wa dunia yote nchi kubwa inayoogopeka na kila nchi duniani imetu.a meli 2 za kivita huko Taiwan. Na katika ujumbe wao wameonya ole wao China ijaribu kurusha kombora wataita maji mma!
Na wamesema watazidi kuleta vifaa zaidi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuipoteza china kwenye uso wa dunia. Hongereni sana marekani dunia inawategemea kutukomboa!
View attachment 2337238
Ni kwanini hajatuma hizo meli?Huko anatuma silaha za wastani ndio maana mpaka leo russia anataman ku surrender!