passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Wewe unajuaje?Putin ana wasiwasi na maisha yake kuliko ilivyo kwa Zelensky.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajuaje?Putin ana wasiwasi na maisha yake kuliko ilivyo kwa Zelensky.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Umeamua kujisemea tu au wewe ni CIA wa buza?
Anaenda kupoteza hayo maeneo soon
Hahah..nyie endeleni kujidanganya na endelee kumdanganya Zele, watakula kichwa mchana kweupe...kaulize kilichomkuta kamanda mkuu wa Majeshi ya Ukraine....Zele atulie....hiyo ni live war, live ammunitions..sio Hollywood au michezo ya kuigiza..kufumba na kufumbua atakua majivu...akae kwa kutiaAna uthubutu usiomithilika,maana hata Putin haamini anachokiona.
Jana bendera inayotumiwa na wapinzani wengi wa Putin pamoja na Free Russia Legion ilirushwa juu kwa muda katikati ya Moscow!Tangu drone zipige Kremlin hana amani tena,muda wote yupo mapangoni.
Aibu ipi mtashtuka Russia ameshachukua eneo kubwa Ukraine.Hehehe napenda msivyo kata tamaa licha ya aibu yote hii, mlituambia Zele ameikimbia nchi.
Kutoka hadithi ya kupigana dhidi ya wanazi hadi kuwa mporaji wa maeneo. Pathetic Russia and its minions.Aibu ipi mtashtuka Russia ameshachukua eneo kubwa Ukraine.
Putin ni suala la muda tu atakuwa hana chake Russia,maana dikteta yeyote huwa hawi na mwisho mwema.Jana bendera inayotumiwa na wapinzani wengi wa Putin pamoja na Free Russia Legion ilirushwa juu kwa muda katikati ya Moscow!
Aibu ipi mtashtuka Russia ameshachukua eneo kubwa Ukraine.
Jidanganye ?Ameutoa kwa kuionyesha dunia kuwa urusi si lolote si chochote kivita.
Sawa ila mimi macho yangu mabovu sijaona picha wala video ya eneo aliloenda kutembea ila alivyo enda Japan picha na video tuliona wote humu.waswahili wana sema mkono mtupu haulambwi zele ni wanted popote alipo hawezi kwenda wanaposema kaenda hizo ni propaganda tu.Hehehe napenda msivyo kata tamaa licha ya aibu yote hii, mlituambia Zele ameikimbia nchi.
Sawa ila mimi macho yangu mabovu sijaona picha wala video ya eneo aliloenda kutembea ila alivyo enda Japan picha na video tuliona wote humu.waswahili wana sema mkono mtupu haulambwi zele ni wanted popote alipo hawezi kwenda wanaposema kaenda hizo ni propaganda tu.
Bakhmut ipi ya kibera au.ya Ukraine sasa hivi warusi wanapeleka polisi na askari kwa sababu ni sehemu ya urusi tayari.Pamoja na usupapawa ameshindwa kufumua Bakhmut, huyo ambaye alijaribu kuparamia Kyev....aibu sana
Bakhmut ipi ya kibera au.ya Ukraine sasa hivi warusi wanapeleka polisi na askari kwa sababu ni sehemu ya urusi tayari.