Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mangungu kabla ya kuwa Simba aliongoza timu ipi?Umeshiba nn? Huyo Kk amewahi kuongoza hata timu ya daraja la 8?
Salim Kikeke inavyoonekana alitapeliwa kwa kuahidiwa kwamba atapewa ajira nono ktk nchi hii na yeye akaingia mkenge wa kufanya Maamuzi ya haraka haraka ya kuacha kazi BBC. Alikuwa bado hajazigundua mbinu za "Ghiriba za Kiutawala" walizonazo watawala wenye Itikadi ya Kikomunisti/Ujamaa, nafikiri Sasa atakuwa ameanza kuelewa somo.Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Kina kitenge walikuwa wanapiga hela kuliko yeye kule BBC na hapa kwa Sasa atakuwa mkubwa hasa kama ataendelea na anachofanya kuliko alivyokuwa stagnant pale BBC ambayo kwa Sasa dira ya dunia iko Nairobi ikirekodiwa na camera za miaka nenda RudiSalim Kikeke inavyoonekana alitapeliwa kwa kuahidiwa kwamba atapewa ajira nono ktk nchi hii na yeye akaingia mkenge wa kufanya Maamuzi ya haraka haraka ya kuacha kazi BBC. Alikuwa bado hajazigundua mbinu za "Ghiriba za Kiutawala" walizonazo watawala wenye Itikadi ya Kikomunisti/Ujamaa, nafikiri Sasa atakuwa ameanza kuelewa somo.
Kwa malkia hata masikini wa chini ya madaraja ni mweupe sababu ya hali ya hewaRoho inauma sana ninapomuona kikeke mpaka ngozi yake imebadilika kawa mweusi tiii wakati akiwa kule kwa malikia alikuwa mweupe kabisa
Kwani Hersi kabla ya yanga alikua anaongoza timu gani?Umeshiba nn? Huyo Kk amewahi kuongoza hata timu ya daraja la 8?
Nasikia wanaidai hata 'Ubaya Ubwela' ni Yao😂Utopolo siku zote wanaiwaza Simba , ndio maana Mzee Magoma akawaita mazezeta.
Hivi mna maslahi gani Hadi mpendekeze kiongozi wa Simba.
Mambo ya Simba waachie Wana Simba . Hivi umeshawahi kusikia Simba wanapendekeza nani awe kiongozi wa yanga, halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili bado mnabisha.
Kikeke ana mpunga?Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Acha kusoma, pita tuUtopolo siku zote wanaiwaza Simba , ndio maana Mzee Magoma akawaita mazezeta.
Hivi mna maslahi gani Hadi mpendekeze kiongozi wa Simba.
Mambo ya Simba waachie Wana Simba . Hivi umeshawahi kusikia Simba wanapendekeza nani awe kiongozi wa yanga, halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili bado mnabisha.
Acha kusoma, na wewe usije kupost hapa