Ushiled
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 656
- 1,153
Ila mashabiki wa msimbazi wanamawazo ambayo dah 😿😿😿😿Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mashabiki wa msimbazi wanamawazo ambayo dah 😿😿😿😿Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Hersi alikua vizuri sana dah!
ana pesa huyo kikeke?Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Kichwa cha hii habari yako, kinamaanisha akitoka Hersi, aingie Kikeke. Ina maana Hersi anataka kuachia ngazi, au mmemchoka, mnataka kumuondoa?Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Hersi aliongozaga daraja la ngapi bossUmeshiba nn? Huyo Kk amewahi kuongoza hata timu ya daraja la 8?
Sasa kama ndio asili yake afanyeje SasaRoho inauma sana ninapomuona kikeke mpaka ngozi yake imebadilika kawa mweusi tiii wakati akiwa kule kwa malikia alikuwa mweupe kabisa
Hii ndiyo tofauti kati ya akili nyingi na akili kidogo. Akili nyingi wanajadili hoja, fursa na ideas zilizopo, akili ndogo wanajadili watu, spellings, personalities za waleta Fursa, wazo na hoja..Kichwa cha hii habari yako, kinamaanisha akitoka Hersi, aingie Kikeke. Ina maana Hersi anataka kuachia ngazi, au mmemchoka, mnataka kumuondoa?
Unajua maana ya "M'BADALA"?Hii ndiyo tofauti kati ya akili nyingi na akili kidogo. Akili nyingi wanajadili hoja, fursa na ideas zilizopo, akili ndogo wanajadili watu, spellings, personalities za waleta Fursa, wazo na hoja..
Kuhalalisha hisia zako za rohoni mara nyingi inaweza kuwa haina tofauti na ushirikina.Salim Kikeke inavyoonekana alitapeliwa kwa kuahidiwa kwamba atapewa ajira nono ktk nchi hii na yeye akaingia mkenge wa kufanya Maamuzi ya haraka haraka ya kuacha kazi BBC. Alikuwa bado hajazigundua mbinu za "Ghiriba za Kiutawala" walizonazo watawala wenye Itikadi ya Kikomunisti/Ujamaa, nafikiri Sasa atakuwa ameanza kuelewa somo.
Usije ukawa wewe ni kikeke MkuuNi kijana kuliko Mangungu nadhani, lakini kukaa Uingereza zaidi miaka 20 kunaweza kusaidia kubadilisha mambo Simba na mpira wetu kwa ujumla. Watu kama hawa ingefaa kuwapa nafasi pale TFF pia.
Sisi tunadili na facts mezani, sio watu kama watu. Mangungu Bado anaamini uchawi unasaidia kupata matokeo, lakini anaamini science ya mpira kupata matokeo kutokana na exposure aliyoipata. Mzee TIDO mhando baada ya kurudi nchini kutoka BBC alikuja na picha kubwa sana kwenye tasnia ya habari na michezo, lakini serikali ilimvuta shati pale TBC akakimbilia Azam media ambako ameifanya Azam Leo kuwa dude kubwa.Usije ukawa wewe ni kikeke Mkuu
Huyu huyu au mwingine?Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.