Mbadala wa Eng. Hersi Yanga ni Salim Kikeke Simba, sio Mangungu Wala mo.

Mbadala wa Eng. Hersi Yanga ni Salim Kikeke Simba, sio Mangungu Wala mo.

Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
Kichwa cha hii habari yako, kinamaanisha akitoka Hersi, aingie Kikeke. Ina maana Hersi anataka kuachia ngazi, au mmemchoka, mnataka kumuondoa?
 
Kichwa cha hii habari yako, kinamaanisha akitoka Hersi, aingie Kikeke. Ina maana Hersi anataka kuachia ngazi, au mmemchoka, mnataka kumuondoa?
Hii ndiyo tofauti kati ya akili nyingi na akili kidogo. Akili nyingi wanajadili hoja, fursa na ideas zilizopo, akili ndogo wanajadili watu, spellings, personalities za waleta Fursa, wazo na hoja..
 
Hii ndiyo tofauti kati ya akili nyingi na akili kidogo. Akili nyingi wanajadili hoja, fursa na ideas zilizopo, akili ndogo wanajadili watu, spellings, personalities za waleta Fursa, wazo na hoja..
Unajua maana ya "M'BADALA"?
 
Ila ukweli ni kwamba KIKEKE anahitajika simba kwa nafasi fulani kuongeza mwamko na taste ambayo imepoa simba tangu aondoke Manara....
Si lazima iwe position ya MO wala Mangunga ...
 
Kwanini mkuu , labda umeona mbali?
Ni kijana kuliko Mangungu nadhani, lakini kukaa Uingereza zaidi miaka 20 kunaweza kusaidia kubadilisha mambo Simba na mpira wetu kwa ujumla. Watu kama hawa ingefaa kuwapa nafasi pale TFF pia.
 
Salim Kikeke inavyoonekana alitapeliwa kwa kuahidiwa kwamba atapewa ajira nono ktk nchi hii na yeye akaingia mkenge wa kufanya Maamuzi ya haraka haraka ya kuacha kazi BBC. Alikuwa bado hajazigundua mbinu za "Ghiriba za Kiutawala" walizonazo watawala wenye Itikadi ya Kikomunisti/Ujamaa, nafikiri Sasa atakuwa ameanza kuelewa somo.
Kuhalalisha hisia zako za rohoni mara nyingi inaweza kuwa haina tofauti na ushirikina.

Mbona Kama unachohisi na kikichopo haviendani.

Kikeke amechuma huko BBC na hivi Sasa mwenyewe anasema ana mkwanja.

Amekuja kuanzisha Radio na TV (Crown Radio na TV ) kwa kushirikiana na Ali Kiba.

Lakini unavyobonga hapa utafikiri Kikeke kapotea, Hana cha kufanya alisubiria teuzi na katekekezwa na ana njaa kali.
 

Attachments

  • Screenshot_20240916-094549.png
    Screenshot_20240916-094549.png
    365.5 KB · Views: 2
Ni kijana kuliko Mangungu nadhani, lakini kukaa Uingereza zaidi miaka 20 kunaweza kusaidia kubadilisha mambo Simba na mpira wetu kwa ujumla. Watu kama hawa ingefaa kuwapa nafasi pale TFF pia.
Usije ukawa wewe ni kikeke Mkuu
 
Usije ukawa wewe ni kikeke Mkuu
Sisi tunadili na facts mezani, sio watu kama watu. Mangungu Bado anaamini uchawi unasaidia kupata matokeo, lakini anaamini science ya mpira kupata matokeo kutokana na exposure aliyoipata. Mzee TIDO mhando baada ya kurudi nchini kutoka BBC alikuja na picha kubwa sana kwenye tasnia ya habari na michezo, lakini serikali ilimvuta shati pale TBC akakimbilia Azam media ambako ameifanya Azam Leo kuwa dude kubwa.
 
Back
Top Bottom