Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Binafasi napendekeza badala ya kuwapa waalimu mitihani kabla ya kuajiriwa, kuwe tu na kigezo cha pass stahiki cha masomo atakayofundisha.....
Sijui kwa nini umchague mwalimu wa Kiswahili & History (kwa mfano) mwenye ufaulu wa D kwa masomo husika wakati umeacha kuchukua mtu mwenye ufaulu wa B halafu uanze tena kupoteza gharama eti unajustify uwezo wake?
Utaratibu huu Kisaiyansi utakuwa hauko sawa sawa....
Sijui kwa nini umchague mwalimu wa Kiswahili & History (kwa mfano) mwenye ufaulu wa D kwa masomo husika wakati umeacha kuchukua mtu mwenye ufaulu wa B halafu uanze tena kupoteza gharama eti unajustify uwezo wake?
Utaratibu huu Kisaiyansi utakuwa hauko sawa sawa....