Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya kitu kidoogo... mahabusu mnachanga teni teni watu 20 inapatikana 200,000 mnamkata mitama askari mnatokomea kupoteza ushahidi kwan shi ngap bwana .. kila mtu ashike njia yake ..wote tutakufa tu..askari wenyewe hao wote wana njaa kali ajabu.
Unaweza kusikia mahabusu wote waliotoroka ni wanachama wa Chadema.
We mzee kwemaBwahaha [emoji1787]
Hapo nakubaliana na wewe walahi
We mzee kwemaBwahaha [emoji1787]
Hapo nakubaliana na wewe walahi
Wakati mwingine wajiangalie wanaweza kubakwa watu Wana KIU huko mahabusu.Utaambiwa Ni Viashiria Vya Ugaidi
Mahabusu waliokuwa wanashikiliwa kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai, kilichopo Mbagala wilayani Temeke wametoroka baada ya kumpiga askari kisha kuvunja lango la chumba cha mahabusu na kutokomea kusikojulikana.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa moja usiku, jijini Dar es Salaam limethibitishwa na Jeshi la Polisi huku likisema wanaendelea na msako wa kuwabaini walipo mahabusu hao.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo alipotafutwa na Mwananchi azungumzie tukio hilo, alisema yuko msibani Kibondo, atafutwe kaimu wake, Daniel Shila ambaye ni Mkuu wa Upelelezi wa Polisi Kanda ya Maalum Dar es Salaam azungumzie hilo.
Kamanda Shila alipotafutwa na Mwananchi alikiri kuwapo kwa tukio hilo, lakini akasema “waliotoroka ni mahabusu wenye makosa madogo waliokamatwa kwenye doria iliyofanywa na jeshi hilo, si wale wenye kesi mbalimbali.”
MWANANCHI
Hivi huwa tunafikiri kweli? mtu ambaye anakatwa bila sababu ana uwezo wa kuvunja mahabsu na kutoroka?hawa ndo wale wanakamatwa bila sababu ili mradi polisi wapewe chochote
Mahabusu waliokuwa wanashikiliwa kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai, kilichopo Mbagala wilayani Temeke wametoroka baada ya kumpiga askari kisha kuvunja lango la chumba cha mahabusu na kutokomea kusikojulikana.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa moja usiku, jijini Dar es Salaam limethibitishwa na Jeshi la Polisi huku likisema wanaendelea na msako wa kuwabaini walipo mahabusu hao.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo alipotafutwa na Mwananchi azungumzie tukio hilo, alisema yuko msibani Kibondo, atafutwe kaimu wake, Daniel Shila ambaye ni Mkuu wa Upelelezi wa Polisi Kanda ya Maalum Dar es Salaam azungumzie hilo.
Kamanda Shila alipotafutwa na Mwananchi alikiri kuwapo kwa tukio hilo, lakini akasema “waliotoroka ni mahabusu wenye makosa madogo waliokamatwa kwenye doria iliyofanywa na jeshi hilo, si wale wenye kesi mbalimbali.”
MWANANCHI
Au malezi ya hovyo hovyoUtaambiwa Ni Viashiria Vya Ugaidi