Mbagala, Dar es Salaam: Mahabusu wadaiwa kumpiga askari na kutokomea kusikojulikana

Hakuna kosa dogo wala kubwa Polisi wameshindwa kazi
 
Nchi ya kitu kidoogo... mahabusu mnachanga teni teni watu 20 inapatikana 200,000 mnamkata mitama askari mnatokomea kupoteza ushahidi kwan shi ngap bwana .. kila mtu ashike njia yake ..wote tutakufa tu..askari wenyewe hao wote wana njaa kali ajabu.

Bwahaha [emoji1787]
Hapo nakubaliana na wewe walahi
 
Safi sana.
Nimefurahi kusikia hii Habari.
 
Ila huu msalaa mkubwa wakikamatwa
Hehehe

Ova
 
Salaam wadau,nimeipata tetesi,mahabusu wa kituo Cha polisi maturubai wamevunja lock up na kumpiga Askari ,na hatimaye, wamekumbilia kusikojulikana.
Mwenye taarifa zaidi. Atujuze.
Tumsubiri IGP,NYAKORO, SIMON SIRO,atatueleza,au mwingine mwenye full information.
 
Makosa madogo madogo ni kama yapi? Mtuanapata ujasiri wa kympiga askari mwenye silaha na kuvunja mahabusu unasema makosa madogo madogo, sasa kwanini mliwakamata kama makosa ni madogo? Dawa yao Hamza
 
Your browser is not able to display this video.

Sirro yeye hana habari, yupo busy anayaruka Madebe tu
 
Kuvunja na kutoroka huo ni msala!

Kama kuna mwizi wa kesi ya kuku,bata,kupigana
Kama ana akili timamu sijui kama anaweza kutoroka, akitoroka basi kaumia

Ova
 
asante Hamza Mohamed unazidi kutuwakilisha MwenyeziMungu akupunguzie adhabu huko uliko
 
Watakuwa na undugu wa karibu na Shujaa Hamza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…