Jpm je.Huyu ndio raisi wa ajabu kuwahi kutokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm je.Huyu ndio raisi wa ajabu kuwahi kutokea
Mkuu,watu wameanza kuamka qmmke soon tu wataeleea
😆😆😆😆Waacheni waendelee na kumpamba "mama" yao maana siku hizi hadi wanasema kapunguza vifo vya wanaozaa, mara hata madaktari wakifanikisha upasuaji mgumu wanasifia eti "madaktari wa mama" waokoa mgonjwa na sifa zote.
Sasa wananchi watamuondoa huyo anayeshindwa kutengeneza barabara, kuboresha maisha, mishahara na pension bora, ajira za vijana nk kisha huyo anayepunguza vifo watambakiza ila adhibitishe kuwa ni yeye kweli
Picha za kufunga Barbara.Huna macho?
😆😆😆😆Bao la mama
Hata hiyo Mwananchi huiamini?Pov
Picha za kufunga Barbara.
Basi tena Arusha hakuna mwamko bado haujasema!Nimeshangazwa mno na mwamko wa Mbagala
Umerukwa na akili?Basi tena Arusha hakuna mwamko bado haujasema!
Mapinduzi!Kuna dalili fulani kwenye nchi hii ya kufurahisha sana
😆😆😆😆😆Mapinduzi!
Mganga wangu ni wewe!Umerukwa na akili?
HakikaUkiona Mbagala imeamka jua kumekucha
HakikUkiona Mbagala imeamka jua kumekucha
Masikini WatanganyikaHatimaye nchi nzima itaamka maana kuna maeneo ya nchi hii hakuna barabara bali zimebakia njia. Pesa wanapewa wasanii, kulipia magoli, kuwalipa machawa, kusafirisha misiba ya watangazaji, kuwatibu wasanii wakati kundi kubwa la watanganyika linataabika kwa kuwa na huduma duni.
KabisaMovements never DIE..
Ingekuwa na sie tunaonyesha muamko huko mtaani kama hao wamama tungekuwa mbali sana ila sisi kutwa tupo mitandaoni athari ya miamko yetu inaishia humu haionekani huko mtaani.Soon Dar nzima itaamka.
Labda hukuniona kwenye maandamano.Ingekuwa na sie tunaonyesha muamko huko mtaani kama hao wamama tungekuwa mbali sana ila sisi kutwa tupo mitandaoni athari ya miamko yetu inaishia humu haionekani huko mtaani.