Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Maandamano yapi?Labda hukuniona kwenye maandamano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano yapi?Labda hukuniona kwenye maandamano.
Ya kumpinga Chalamila.Maandamano yapi?
Hata Mimi naanza kuiona.dalili nzuri kabisaaKuna dalili fulani kwenye nchi hii ya kufurahisha sana
HakikaHata Mimi naanza kuiona.dalili nzuri kabisaa
Kweli kabisa! Hata mm sasa naanza kuziona hizo dalili.Kuna dalili fulani kwenye nchi hii ya kufurahisha sana
Huo wimbo unamtosha chala.Wakazi wa Mbagala Mzinga Wamefunga barabara ya kutoka Dar kwenda Mikoa ya kusini kwa madai ya kuchoshwa na ajali kwenye eneo lao, jambo hilo limesababisha foleni kubwa ya Magari.
Jambo hilo limemtoa Mkuu wa Mkoa wa DSM ofisini na kumfikisha eneo la Tukio ili kuwaomba wananchi hao waruhusu barabara iendelee kutumika .
Hata hivyo Bwana Chalamila amepokelewa na wimbo mpya uliotungwa eneo la tukio unaoitwa "bao 1 milioni 10 lakini barabara mbovu" ambao haufahamiki maana yake
=======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewasili eneo la Mbagala Mzinga baada ya wananchi kufunga Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kwa madai ya kuchoshwa na ajali zinazotokea kila siku.
Chalamila amewasili eneo hilo asubuhi ya leo Mei 17, 2024 na kupokelewa na wananchi hao wakiimba ...goli moja milioni 10 halafu barabara mbovu.
Wananchi hao wamefunga barabara hiyo kutokana na ajali iliyotokea usiku wa jana Alhamisi Mei 16,2024 na kusababisha vifo vya watu wanne.
Kutokana na kufungwa kwa barabara hiyo kuanzia asubuhi ya leo kumesababisha foleni kubwa ya vyombo vya moto na watumiaji wengine wa barabara hiyo.
Huyo ni mzuri kuwahi kutokea kwenye Tanganyika yetu hasa kwa wananchi achana na upinzani uchaara na walamba asaliJpm je.
😆😆😆😆😆😆😆Huyo ni mzuri kuwahi kutokea kwenye Tanganyika yetu hasa kwa wananchi achana na upinzani uchaara na walamba asali
Duh sikuwahi kuiona hii. Hizi clip ndo za kusambazwa kipindi hiki cha kudai Katiba Mpya.Wakazi wa Mbagala Mzinga Wamefunga barabara ya kutoka Dar kwenda Mikoa ya kusini kwa madai ya kuchoshwa na ajali kwenye eneo lao, jambo hilo limesababisha foleni kubwa ya Magari.
Jambo hilo limemtoa Mkuu wa Mkoa wa DSM ofisini na kumfikisha eneo la Tukio ili kuwaomba wananchi hao waruhusu barabara iendelee kutumika .
Hata hivyo Bwana Chalamila amepokelewa na wimbo mpya uliotungwa eneo la tukio unaoitwa "bao 1 milioni 10 lakini barabara mbovu" ambao haufahamiki maana yake
=======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewasili eneo la Mbagala Mzinga baada ya wananchi kufunga Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kwa madai ya kuchoshwa na ajali zinazotokea kila siku.
Chalamila amewasili eneo hilo asubuhi ya leo Mei 17, 2024 na kupokelewa na wananchi hao wakiimba ...goli moja milioni 10 halafu barabara mbovu.
Wananchi hao wamefunga barabara hiyo kutokana na ajali iliyotokea usiku wa jana Alhamisi Mei 16,2024 na kusababisha vifo vya watu wanne.
Kutokana na kufungwa kwa barabara hiyo kuanzia asubuhi ya leo kumesababisha foleni kubwa ya vyombo vya moto na watumiaji wengine wa barabara hiyo.
Nadhani hata msigwa hakuonaDuh sikuwahi kuiona hii. Hizi clip ndo za kusambazwa kipindi hiki cha kudai Katiba Mpya.
😆😆😆😆Impact ya lisu kuwa mwenyekiti wa chadema inaleta uamsho kwa waliolala, mbagala sasa waamka kutoka usingizini
Kuwaondoa kwa namna ipi? Upigaji wa kura ama kuna njia nyingineWananchi wameanza kuelewa kilichobaki ni kuwaondoa wanaotoa hizo millioni kumi