Pre GE2025 Mbagala: RC Chalamila apokelewa kwa Wimbo "Bao 1 milioni 10 lakini barabara mbovu"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Ukiona Mbagala imeamka jua kumekucha
Hakik
Masikini Watanganyika
 
Aise! Bila shaka habari zimeshafika Chamwino! Kwa kuwa Uchaguzi umekaribia Mama ni msikivu ataagiza taasi inayohusika ikalitazame jambo hilo.
 
Soon Dar nzima itaamka.
Ingekuwa na sie tunaonyesha muamko huko mtaani kama hao wamama tungekuwa mbali sana ila sisi kutwa tupo mitandaoni athari ya miamko yetu inaishia humu haionekani huko mtaani.
 
Ingekuwa na sie tunaonyesha muamko huko mtaani kama hao wamama tungekuwa mbali sana ila sisi kutwa tupo mitandaoni athari ya miamko yetu inaishia humu haionekani huko mtaani.
Labda hukuniona kwenye maandamano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…