Mbali na kuikosoa serikali kuhusu Makato; lakini kiukweli Watanzania kwenye kulipa Kodi tuwagumu sana

Mbali na kuikosoa serikali kuhusu Makato; lakini kiukweli Watanzania kwenye kulipa Kodi tuwagumu sana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tu.

Ila Kama wangeambiwa kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma kama sio kukatwa juu kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa wa sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, na kuhakikishia kodi isingelipwa.

Siku ya jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata😃😃😃.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo😃😃😃

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa
 
Kwa sababu tuna kodi za hovyo hadi dunia inashangaa. Ukinunua umeme Leo utakutana na kosi sio chini ya NNE au tano

Ukinunua mafuta ya petrol, utakutana na kodi kama 10

Ukiagiza gari tena used, utakutana na mzigo wa kodi, haya uliza zimewahi kusadia nini?

Zinatumika kulipa kikundi cha wahuni Fulani bungeni kisha wao ni exempted from taxes....
Wakishiba wakimaliza wanatutukana.

Sasa kwa hali kama hio kwa MTU anayejitambua atakubali kodi kweli?
Huku kuna tuhuma za Waziri kukwepa kodi?
 
Kwa sababu tuna kodi za hovyo hadi dunia inashangaa. Ukinunua umeme Leo utakutana na kosi sio chini ya NNE au tano

Ukinunua mafuta ya petrol, utakutana na kodi kama 10

Ukiagiza gari tena used, utakutana na mzigo wa kodi, haya uliza zimewahi kusadia nini?

Zinatumika kulipa kikundi cha wahuni Fulani bungeni kisha wao ni exempted from taxes....
Wakishiba wakimaliza wanatutukana.

Sasa kwa hali kama hio kwa MTU anayejitambua atakubali kodi kweli?
Huku kuna tuhuma za Waziri kukwepa kodi?


Sababu kuu ni kutokana walipa Kodi directly ni wachache, hivyo lazima wachache waumie mno.

Ila Kama Kila mtu angelipa Kodi kulingana na Uchumi wake, Kodi ingepungua
 
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tuu.
Ila Kama wangeambiwa Kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma Kama sio kukatwa juu Kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa WA sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, nakuhakikishia Kodi isingelipwa.

Siku ya Jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu Sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara Yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata😃😃😃.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo😃😃😃

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa
Mie mtz wa kawaida tu ila naunga mkono hizi kodi za tozo ktk miamala, ni sehemu ambayo huwezi kwepa kijanja janja kama sehemu zingine, kilio changu ni wabunge na wale ambao kwa sasa hawalipi kodi nao walipe kuchangia....
 
Hivi Yale mapato ya vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo yalifikaga sh. Ngapi
 
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tuu.
Ila Kama wangeambiwa Kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma Kama sio kukatwa juu Kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa WA sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, nakuhakikishia Kodi isingelipwa.

Siku ya Jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu Sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara Yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata😃😃😃.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo😃😃😃

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa
unalipa kodi mwenye mshahara wa 280,000 mbunge mwenye mshahara wa 12 na marupurupu mengine halipi kodi ni akili hiyo?
 
Hivi Yale mapato ya vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo yalifikaga sh. Ngapi


Yale mbona hata Mimi nilikuwa nayakimbia tuu.

Kodi za moja Kwa moja kuzikimbia ni rahisi mno hasa ukiwa nafasi yako ndogo au kubwa ndani ya nchi.
Ila ukiwa tabaka la Kati lazima ulipe tuu.

Wajasiriamali wengi mbona hawana hivyo vitambulisho hata tangu kipindi cha Magufuli.

Ila Kwa Kodi za kukatwa juu Kwa juu kukimbia ni ishu Sana,
 
Nikipata fursa nitakupigia pcha ya misururu ya Watz kwenye maduka makubwa ya dawa lakini hakuna anaedi risiti za efd na wale wauzaji hawatoi.

Kwa upuuzi kama huu kamwe serikali isithubitu kutoa hii kodi ya miamala maana ita offset hizo kodi zinazopotea kwa kitokudai risiti.

Ndio maana Magu alikuwa anawapora wafanyabiashara pesa maana kiukweli ukiona inaudhi Sana.
 
Yale mbona hata Mimi nilikuwa nayakimbia tuu.

Kodi za moja Kwa moja kuzikimbia ni rahisi mno hasa ukiwa nafasi yako ndogo au kubwa ndani ya nchi.
Ila ukiwa tabaka la Kati lazima ulipe tuu.

Wajasiriamali wengi mbona hawana hivyo vitambulisho hata tangu kipindi cha Magufuli.

Ila Kwa Kodi za kukatwa juu Kwa juu kukimbia ni ishu Sana,
Mie nikienda nunua kifaa cha electronic ananitajia bei mbili, kabla ya vat na baada ya vat, nichague mwenyewe....sasa hapo kodi ya kuchagua nilipe au nisilipe si rahisi tu. mtz umwambiw lipa 118000 au 100000 unategemea atachagua alipe ipi kwa bidhaa hiyo hiyo...kwa hiyo kulipa indirect ndio solution ya lazima...
 
Tunalipa kodi kwenye kila bidhaa na kila huduma tunayolipia.
Hapo hapo, bado tunalipa PAYE au ushuru na mazaga zaga mengine kwenye vijibanda vyetu.
Yaani ukijumlisha direct na indirect taxes, unaweza kuta kwenye kila laki 7 yako, serikali inapiga 100,000 yake.
Hao wapanga Kodi wenyewe hawakatwi direct taxes na wanatumia kodi zetu kwa anasa ilhali mitaa inanuka shida za upungufu wa huduma muhimu.
Je, ni nani atapenda kulipa Kodi katika hali kama hii?

NB: Usisahau sisi ni masikini wa vipato.
 
Nikipata fursa nitakupigia pcha ya misururu ya Watz kwenye maduka makubwa ya dawa lakini hakuna anaedi risiti za efd na wale wauzaji hawatoi.

Kwa upuuzi kama huu kamwe serikali isithubitu kutoa hii kodi ya miamala maana ita offset hizo kodi zinazopotea kwa kitokudai risiti.

Ndio maana Magu alikuwa anawapora wafanyabiashara pesa maana kiukweli ukiona inaudhi Sana.


😃😃😃😃😃

Kwanza Watanzania wanapenda bure, na kupunguziwa bei kwenye bidhaa huchukulia Kama msaada kwani Wafanyabiashara wanawaambia bei hiyo hailipi sema wamewapa tuu kishkaji kumbe Janja tuu.

Hivyo mteja haoni umuhimu wa kudai Risiti wakati bidhaa yenyewe kapunguziwa bei na anaona kasaidiwa
 
Tunalipa kodi kwenye kila bidhaa na kila huduma tunayolipia.
Hapo hapo, bado tunalipa PAYE au ushuru na mazaga zaga mengine kwenye vijibanda vyetu.
Yaani ukijumlisha direct na indirect taxes, unaweza kuta kwenye kila laki 7 yako, serikali inapiga 100,000 yake.
Hao wapanga Kodi wenyewe hawakatwi direct taxes na wanatumia kodi zetu kwa anasa ilhali mitaa inanuka shida za upungufu wa huduma muhimu.
Je, ni nani atapenda kulipa Kodi katika hali kama hii?

NB: Usisahau sisi ni masikini wa vipato.
Vile vile, si wabongo tu hawapendi kulipa kodi. Kama akina Bezos, Gates na Mzee wa Tesla wanakwepa kulipa kodi, sisi ni nani hata tupende kuilipa?
 
Tunalipa kodi kwenye kila bidhaa na kila huduma tunayolipia.
Hapo hapo, bado tunalipa PAYE au ushuru na mazaga zaga mengine kwenye vijibanda vyetu.
Yaani ukijumlisha direct na indirect taxes, unaweza kuta kwenye kila laki 7 yako, serikali inapiga 100,000 yake.
Hao wapanga Kodi wenyewe hawakatwi direct taxes na wanatumia kodi zetu kwa anasa ilhali mitaa inanuka shida za upungufu wa huduma muhimu.
Je, ni nani atapenda kulipa Kodi katika hali kama hii?

NB: Usisahau sisi ni masikini wa vipato.


😃😃😃😃

Masikini wa vipato atoe Kodi za kimasikini

Mkuu hiyo Kodi unayoitoa ambayo ni indirect tax ni Kwa sababu hunajinsi Ila Kama ingekuwa unapeleka mwenyewe nakuhakikishia usingepeleka
 
😃😃😃😃😃

Kwanza Watanzania wanapenda bure, na kupunguziwa bei kwenye bidhaa huchukulia Kama msaada kwani Wafanyabiashara wanawaambia bei hiyo hailipi sema wamewapa tuu kishkaji kumbe Janja tuu.

Hivyo mteja haoni umuhimu wa kudai Risiti wakati bidhaa yenyewe kapunguziwa bei na anaona kasaidiwa
Amna kuna maduka mengine hayahitaji kupunguzianana mfano maduka ya dawa/ famasi
 
Mie nikienda nunua kifaa cha electronic ananitajia bei mbili, kabla ya vat na baada ya vat, nichague mwenyewe....sasa hapo kodi ya kuchagua nilipe au nisilipe si rahisi tu. mtz umwambiw lipa 118000 au 100000 unategemea atachagua alipe ipi kwa bidhaa hiyo hiyo...kwa hiyo kulipa indirect ndio solution ya lazima...


😃😃😃😃😃

Bei moja utapewa na Risiti
Bei nyingine hupewi,

Chagua mwenyewe
 
Back
Top Bottom