Mbao United inauzwa mil 300 kwa msimu

Mbao United inauzwa mil 300 kwa msimu

[emoji16][emoji16][emoji16]hao wa janja wa janja tu..
Yaani mil 300 watie mfukoni alafu uanze kuangahika na timu isishuke daraja.
Ulipe mishahara,gharama za kambi na za viongozi wao wametulia tuliii na milioni zao 300.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukisikia kuna timu ya kijinga kabisa duniani ni simba, yaani litimu ingawa ni la ovyo ovyo lisilo na mwelekeo limeuzwa kwa bei ya bwerere huku assets zake kwa nchi nzima zikiwa ni Zaidi ya bei iliyo nunuliwa…..tehee teheee
 
Back
Top Bottom