Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?