Mbarali: ACT WAZALENDO waanza kutekwa

Mbarali: ACT WAZALENDO waanza kutekwa

Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
Kwamba hatujui ukhanithi unaoendelea kwenye chaguzi zetu baada ya dhalimu kuingia madarakani ama?
 
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Wewe nawe kwasasa akili yako imekua ya kijinga....Yaani kususa uchaguzi unakisaidia nini chama?
 
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Kama Kuna uwezekano, hata chama pia kitekwe 😠😠, Hakuna chama kinafiki kama ACT Wazalendo/Wasalenda
 
Mbarali, Mbeya
Tanzania

Katibu mkuu Rashidi Ligania Rai wa chama cha AAFP walalamikia uchaguzi mdogo


View: https://m.youtube.com/watch?v=Qugq-6POVs8

Mh. Rashidi Ligania Rai katibu mkuu wa AAFP akizungumza mbele ya waandishi wa habari, aelezea faulo nyingi zinazoendelea kujaribu kudhoofisha kampeni za chama chake katika ushiriki wake kuwania nafasi ya ubunge jimboni Mbarali .

AAFP inayojifunganisha na kutetea wakulima kama moja ya kazi zake za kisiasa ...
 
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA MBARALI, VYAMA VITANO VYAJITOKEZA

Vyama vitano vyachukua fomu za uteuzi uchaguzi mdogo jimbo la Mbarali Tanzania. Hayo yabainishwa na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwanguru katika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Kofia nyingine ya Bw. Missana Kwangaru yeye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbalali Mkoa wa Mbeya.

Wakurugenzi wa halmashauri kusimamia chaguzi ni haramu hukumu ya Mahakama ya Afrika yatamka:

23 Juni 2023
MAKAO YA MAHAKAMA YA AFRIKA
Arusha, Tanzania

MAHAKAMA YA AFRIKA BAADA YA KUTOA HUKUMU HII YA KIHISTORIA, YATOA MAAGIZO HAYA YATEKELEZWE HARAKA INAVYOWEZEKANA :

Serikali yapewa agizo na Mahakama ya Afrika kuitundika hukumu hii ya kihistoria katika tovuti, mitandao, ofisi za umma za sheria kote Tanzania ili raia waisome hukumu hii

Kuwa serikali ianzishe mchakato wa kubadilisha sheria kupitia muswada bungeni ili sheria zake ziendena na hukumu hii iliyotolewa, protokali na chapter za Afrika

Kuwa serikali iwe inatoa mrejesho / feedback kuhusu hatua inazochukua ili kukazia hukumu hii sheria mpya iliyoelekezwa katika kutoa mazingira huru ya Tume ya Uchaguzi na mawakala wa uchaguzi...
Source : African Court Cases | Details of a case

011 / 2020 - Bob Chacha Wangwe and Legal and Human Rights Centre vs United Republic of Tanzania​




 
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA MBARALI, VYAMA VITANO VYAJITOKEZA

Vyama vitano vyachukua fomu za uteuzi uchaguzi mdogo jimbo la Mbarali Tanzania. Hayo yabainishwa na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwanguru katika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Kofia nyingine ya Bw. Missana Kwangaru yeye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbalali Mkoa wa Mbeya.

KAMPENI ZAANZA KWA KISHINDO
09 Sept. 2023

DP chama cha Mtikila ktk kampeni jimbo la Mbarali, Mbeya uchaguzi mdogo wa mbunge, rudisheni kadi za CCM kama kule Mtwara


View: https://m.youtube.com/watch?v=Btsmwhomk6Y

Mgombea wa DP Mzee Oswald Joseph Mndeva aanza kampeni kabambe huku akiwaomba wakaazi wote wa Mbarali waichague DP ili waweze kuendelea na shughuli za maendeleo za kilimo, uvuvi na ufugaji ambazo ni shughuli kuu maeneo ya Usangu ambazo zinapata changamoto kutokana na sera mbovu CCM katika sekta hizo tahwa zinaziajiri maelfu ya wakaazi wa Mbarali.

Wagombea wengine ni Halima Abdallah Magambo wa AAFP, Bw. Zavery Laurent Seleleka wa UDP, Bw. Exavery Town Mwataga wa CCK, Bw.Bosco Daudi Mahenge wa UPDP huku chama kikongwe cha CCM Bi. Bahati Ndingo ndiyo anasimama.

Uchaguzi huo mdogo unatazamiwa kufanyika tarehe 19 September 2023 taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliyotundikwa katika tovuti yake rasmi www.nec.go.tz /news inasema.
 
JUZI TU TAREHÈ 17 SEPTEMBER 2023 ACT WAZALEÑDO MKUTANO WAO MBARALI ULIONESHA TISHIO KWA CHAMA KONGWE DOLA TANZANIA

Hatimaye mfumo mbovu umeingilia mchakato

Video juzi ACT Wazalendo wakijimwambafai jimbo la Mbarali lipo kibindoni, hali tete CCM bila dola

View: https://m.youtube.com/watch?v=a8kis0Wgcn0
 
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Siku uchaguzi ukiffanyika 2025 hawa watekaji wajipange, tutalipuna , tutalinda kura kwa kila aina ya zana za jadi, we acha wazoee
 
Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
Nguvu waliyonayo CHADEMA inaogopeka sana.
Wewe hujui tu kwa vile hutaki kutumia akili.
 
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwanguru. Kofia nyingine ya Bw. Missana Kwangaru yeye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbalali Mkoa wa Mbeya.


View: https://m.youtube.com/watch?v=mF0_YwwXyDg

Bw. Missana Kwanguru akizungumza katika "ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi" zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali.
 
Masisiemu hayawezi achia upinzani ushinde

Faulo inachezwa ashinde bahati ndingo iwe jua iwe mvua

Nchi ya hovyo hii
 
Zit
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Zitto yeye anaangalia masilahi yake tu hajali Athari wanazopata wanachama wake.

Huo uchaguzi Mbarali ACT na Zitto walitegemea kupata nini?
 
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Walivyo wajinga watasema hakuna aliyetekwa
 
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .

H
ata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya

Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .

Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?

View attachment 2754968
Mtoa mada fafanua tukuelewe nani katekwa na nani, usituache njia panda.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom