Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Kuna video pale juuMtoa mada fafanua tukuelewe nani katekwa na nani, usituache njia panda.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna video pale juuMtoa mada fafanua tukuelewe nani katekwa na nani, usituache njia panda.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumbe ACT bado kipo hai?Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Ukiniuliza mimi kuhusu andiko lako hili, nitakwambia hapo kuna somo muhimu linalohitaji kuzingatiwa.Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Una abuse jina la John the Baptist. Una unafiki wa kijinga sana. Shame on you unayedhihaki binadamu mwenzako anayepitia madhira.Hao Wana Kawaida ya kujiteka
Nondo ana Ujanja wa porini sana
Kasimu Majaliwa aliteka kila aliyechukua fomu uchaguzi wa 2020 , ili apite bila kupingwa .Kajiteka huyo...
Atekwe na serikali kwa lengo lipi?!!!
Hivi ninyi mnadhani taasisi za serikali zina muda wa ujinga?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Watu wanafikiria mambo makubwa ya nchi zaidi ya hizo Siasa koko....
Mambo makubwa ya wizi wa kura? Pumbavu kabisaKajiteka huyo...
Atekwe na serikali kwa lengo lipi?!!!
Hivi ninyi mnadhani taasisi za serikali zina muda wa ujinga?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Watu wanafikiria mambo makubwa ya nchi zaidi ya hizo Siasa koko....
ACT Wazalendo mna Siasa za porini sana!Una abuse jina la John the Baptist. Una unafiki wa kijinga sana. Shame on you unayedhihaki binadamu mwenzako anayepitia madhira.
Mjinga weweKajiteka huyo...
Atekwe na serikali kwa lengo lipi?!!!
Hivi ninyi mnadhani taasisi za serikali zina muda wa ujinga?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Watu wanafikiria mambo makubwa ya nchi zaidi ya hizo Siasa koko....
Kwa tume hii ya CCM unategemea ushinde uchaguzi?Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
AhahahahaHao Wana Kawaida ya kujiteka
Nondo ana Ujanja wa porini sana
63+40+2+1=70
Sitini na tatu jumlisha na arobaini jumlisha na 2 jumlisha na 1 na unaweza kuongeza sifuri unazotaka, jibu ni Sabini.
![]()
Hiyo ni moja ya results za kura kutoka moja ya vituo vya kura
View: https://x.com/abdulnondo2/status/1704185603191890342?s=20.
Dah watu mmepungukiwa akili,hayo mambo ccm inayofanya kwenye chaguzi mbalimbali tangu enzi za jiwe hadi leo unaona yako sawa?Kweli upumbavu ni ugonjwa mbaya sana kuliko hata ugonjwa wa akili.Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
63+40+2+1=70
Sitini na tatu jumlisha na arobaini jumlisha na 2 jumlisha na 1 na unaweza kuongeza sifuri unazotaka, jibu ni Sabini.
![]()
Hiyo ni moja ya results za kura kutoka moja ya vituo vya kura
View: https://x.com/abdulnondo2/status/1704185603191890342?s=20.
Na watu wanasubiri kwa hamu chadema kususia uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa na ule uchaguzi mkuu wa 2025. Kwani walishahodi kuwa bila ya kuwepo katiba mpya watasusia chaguzi hizo.Nawapongeza sana Chadema kwa kukataa kushiriki kwenye uchaguzi huo kwani ingekuwa ni upotevu wa rasilimali fedha na muda kushiriki kwenye uchaguzi ambao uwezekano wa mpinzani kutangazwa mshindi ni ndoto za mchana.Waacheni washindane wenyewe kwani shilingi ngapi