Kwamba hatujui ukhanithi unaoendelea kwenye chaguzi zetu baada ya dhalimu kuingia madarakani ama?Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
Sasa mbona wanatekana tena !Ccm na Act Wana ndoa kule Zenzibia
Wewe nawe kwasasa akili yako imekua ya kijinga....Yaani kususa uchaguzi unakisaidia nini chama?Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Kama Kuna uwezekano, hata chama pia kitekwe 😠😠, Hakuna chama kinafiki kama ACT Wazalendo/WasalendaMaandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA MBARALI, VYAMA VITANO VYAJITOKEZA
Vyama vitano vyachukua fomu za uteuzi uchaguzi mdogo jimbo la Mbarali Tanzania. Hayo yabainishwa na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbarali Bw. Missana Kwanguru katika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Kofia nyingine ya Bw. Missana Kwangaru yeye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbalali Mkoa wa Mbeya.
011 / 2020 - Bob Chacha Wangwe and Legal and Human Rights Centre vs United Republic of Tanzania
Siku uchaguzi ukiffanyika 2025 hawa watekaji wajipange, tutalipuna , tutalinda kura kwa kila aina ya zana za jadi, we acha wazoeeMaandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Na CCM wanatamani hiyo ndoa ihamie na huku. Wakifanikiwa hilo ndio tutafahamu maana ya kususa kwenye siasa. Kwenye demekrasia ya kiafrika kususa kunafaa kwa only 0.01%.Ccm na Act Wana ndoa kule Zenzibia
Nguvu waliyonayo CHADEMA inaogopeka sana.Kususa Susa ndo unaipongeza Chadema? Huo Mbona ni ujinga pia, Chadema mbona miaka ya nyuma wakati wakiwa na mvuto Kwa wananchi walikuwa Wana shiriki chaguzi ndogo, Baadhi ya Majimbo walishinda, na pale waliposhindwa waliweza kutoa upinzani mkali kwa CCM!
Chadema ya sasa wanafahamu kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wowote mdogo ndo maana wanajificha kwenye kususa
Tunawaona nyani tuChadema mmeanza kutunga mauongo yenu!!
Zitto yeye anaangalia masilahi yake tu hajali Athari wanazopata wanachama wake.Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Achana nao hao Chadema. Wanajiita chama cha siasa halafu wanaogopa uchaguzi. Pumbavu zao!Chadema mmeanza kutunga mauongo yenu!!
Walivyo wajinga watasema hakuna aliyetekwaMaandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968
Mtoa mada fafanua tukuelewe nani katekwa na nani, usituache njia panda.Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa , Wanadamu wanajifanya hawaoni mambo haya
Naipongeza sana Chadema kwa kukataa huu ujinga unaoitwa uchaguzi .
Haya ndio Zitto anaita MAMA ANAIPONYA NCHI?
View attachment 2754968