Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wangu akina Freddy, Emanuel na mwakibe fanyeni jambo Bahati ashinde awe mbunge wa mbaraliUnataka kuona mafuriko?
wewe ni Mkaguzi?Picha ya mahudhurio
Nimecheka.Hii ni nyara ya taifa inafaa kuachwa Gombe
Watapigwa kwani watagombea? Hakuna kugombea chukueni Nchi tuNa hapa ndipo upinzani watakapopigwa
Iwapo CDM hawashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi ni ngumu uchaguzi kuwa na mvuto. Ukweli ni kuwa CCM huwa haina mvuto maana sio ya kizazi cha sasa, na hizi hujuma wanazofanyia chama chenye mvuto, ndio zinazochangia watu kupuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Hakuna uwezekano huo uchaguzi kufikisha wapiga kura 1,000.Picha please vinginevyo hii ni uchawi.
SahihiIwapo CDM hawashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi ni ngumu uchaguzi kuwa na mvuto. Ukweli ni kuwa CCM huwa haina mvuto maana sio ya kizazi cha sasa, na hizi hujuma wanazofanyia chama chenye mvuto, ndio zinazochangia watu kupuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Hakuna uwezekano huo uchaguzi kufikisha wapiga kura 1,000.
Ni bora muachiwe goli wazi ili kura zenu mnazopataga zionekane, kuliko kwenda kupanga mstari kisha atangazwe mgombea wa CCM ambaye hakuwa na kura nyingi.Na hapa ndipo upinzani watakapopigwa
Huyo JPM ndio sababu hasa ya chaguzi za nchi hii kupuuzwa.Hii nchi imeshakwama - hatuwezi tena endelea zaidi ya hapa . Lambda JPM afufuke upya.
Wananchi wako wapweke mno.
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.
Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.
Tutaelewa
Kikufe tu🏃Chonde Chonde Wasijerudisha Kadi Za Ccm Jamani
Chama Kinakufa Mchana Kweupe Kila Mtu Anaona
Hatutaki wakukwiba😂Matokeo CCM kidedea!
Nabado ccm itasuswa nchi bzima sio mbarali,kwenda kwenye mkutana wa ccm itabidi waingie mkataba na watu kwa laki moja kila nkutano gharama za usafiri na chakula kila mkutano moja watapaswa kutoa laki na nusu sehemu nyungine 200,000Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.
Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.
Tutaelewa
Jana CCM waliwachukua vijana toka Uyole na Mwanjelwa kwenda kujaza uwanja, bahati mbaya wengi wao hawajatimiza umri wa kupiga kura. Vijana hawa ni wale wenye fulana za kijani na wengine nyeupe zenye picha ya Samia na maandishi mgongoni.Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa Ubunge jimbo la Mbarali ni ishara kwamba hali si shwari majimboni kisiasa:
Pamoja na Mhe. Waziri Mkuu mstaafu kushiriki katika uzinduzi huo na wananchi kuombwa kushiriki mwitikio ni mdogo jambo linalopelekea kamati ya siasa ya jimbo kukaa leo kwa ajili ya kuweka mikakati kizuri zaidi ya kuwashawishi watu kufika kwenye mikutano.
Hali hii naamini inatokana na wabunge waliopo kwa sasa kukataa kushirikiana na wananchi badala yake wapo mijini na familia zao wakiwa na hofu ya kutumia fedha zao kisha mwakani wakafyekwa.
Tutaelewa
Hili litakuwa kosa kubwa.sana.. Tutawatoaje sasa kama hatutapiga kura..Uchaguzi ujao watu hawatopiga kura
Kabisa watajilalia majumbani tu
Ova
Acha uongo.Huyo JPM ndio sababu hasa ya chaguzi za nchi hii kupuuzwa.
Mtoto wa Hamorapa amefanana sana na huyo 'mzee wa fitna'.Wampeleke Wasira 'mzee wa fitna'!